Simba SC 'mmerogwa' na nani tena? Rweymamu wa nini tena kama Meneja wakati mnajua akikaa na Rafiki yake mkubwa Matola wanaleta Majungu sana?

Simba SC 'mmerogwa' na nani tena? Rweymamu wa nini tena kama Meneja wakati mnajua akikaa na Rafiki yake mkubwa Matola wanaleta Majungu sana?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Klabu ya Simba imemrejesha kikosini Patrick Rweyemamu kuendelea na majukumu yake ya kuwa meneja wa timu hiyo.

Rweyemamu amerejeshwa katika majukumu hayo baada ya msimu uliopita kuondolewa kwenye nafasi hiyo na kuwa Mkuu wa Programu za Soka la Vijana klabuni hapo.

Kurejea kwake anachukua nafasi ya Mikael Igendia raia wa Kenya ambaye alikuwa Meneja wa Simba na Mkuu wa Sayansi ya Michezo. Kumbuka Igendia wakati anatambulishwa ndani ya Simba, alichukua nafasi ya Rweyemamu.

Baada ya kurejeshwa katika nafasi hiyo, Rweyemamu anatarajia kusafiri leo mchana kutoka Dar es Salaam kuelekea Ismailia nchini Misri kwa ajili ya kujiunga na kambi ya Simba iliyopo huko tangu Julai 8 mwaka huu.

Chanzo: mwanaspoti_tz

Hivi ( kwa Sisi Watu wa Mpira wa Bongo ) kuna ambaye hajui kuwa Wachezaji wa Simba SC akina Chama na Mkude pamoja na Wengineo walikuwa wakimpa Rushwa wakiwa Kambini na Usiku wanatoroka kwenda Kula Bata na kununua Malaya Juliana na Beach Kidimbwi hadi mmoja akaibiwa Simu yake na Masela?

Hivi ( kwa Sisi Watu wa Mpira wa Bongo ) kuna ambaye hajui kuwa Rweymamu na Matola ni Marafiki wakubwa na ni Vinara wa Kugawa Wachezaji, kupiga Majungu, kugombanisha Benchi la Ufundi na kupenda Rushwa ( 10% ) kutoka kwa Wachezaji ili wamshawishi Kocha awape namba?

au mnadhani akina GENTAMYCINE hatujui kuwa Makocha wote waliopita Simba SC wakati Rweymamu akiwa Meneja walimlalamikia sana kwa tabia yake ya kupenda kuwa karibu kupitiliza na Wachezaji huku wengine hadi Akiwakuwadia Mishangingi ili ajipatie 10% yake na kuwadharau Makocha Wakuu?

Hii taarifa imenisikitisha sana tu na kwa mbali sasa naweza kuona tena Yanga SC ikiendeleza Ufalme wake nchini TZ.
 
Klabu ya Simba imemrejesha kikosini Patrick Rweyemamu kuendelea na majukumu yake ya kuwa meneja wa timu hiyo.

Rweyemamu amerejeshwa katika majukumu hayo baada ya msimu uliopita kuondolewa kwenye nafasi hiyo na kuwa Mkuu wa Programu za Soka la Vijana klabuni hapo.

Kurejea kwake anachukua nafasi ya Mikael Igendia raia wa Kenya ambaye alikuwa Meneja wa Simba na Mkuu wa Sayansi ya Michezo. Kumbuka Igendia wakati anatambulishwa ndani ya Simba, alichukua nafasi ya Rweyemamu.

Baada ya kurejeshwa katika nafasi hiyo, Rweyemamu anatarajia kusafiri leo mchana kutoka Dar es Salaam kuelekea Ismailia nchini Misri kwa ajili ya kujiunga na kambi ya Simba iliyopo huko tangu Julai 8 mwaka huu.

Chanzo: mwanaspoti_tz

Hivi ( kwa Sisi Watu wa Mpira wa Bongo ) kuna ambaye hajui kuwa Wachezaji wa Simba SC akina Chama na Mkude pamoja na Wengineo walikuwa wakimpa Rushwa wakiwa Kambini na Usiku wanatoroka kwenda Kula Bata na kununua Malaya Juliana na Beach Kidimbwi hadi mmoja akaibiwa Simu yake na Masela?

Hivi ( kwa Sisi Watu wa Mpira wa Bongo ) kuna ambaye hajui kuwa Rweymamu na Matola ni Marafiki wakubwa na ni Vinara wa Kugawa Wachezaji, kupiga Majungu, kugombanisha Benchi la Ufundi na kupenda Rushwa ( 10% ) kutoka kwa Wachezaji ili wamshawishi Kocha awape namba?

au mnadhani akina GENTAMYCINE hatujui kuwa Makocha wote waliopita Simba SC wakati Rweymamu akiwa Meneja walimlalamikia sana kwa tabia yake ya kupenda kuwa karibu kupitiliza na Wachezaji huku wengine hadi Akiwakuwadia Mishangingi ili ajipatie 10% yake na kuwadharau Makocha Wakuu?

Hii taarifa imenisikitisha sana tu na kwa mbali sasa naweza kuona tena Yanga SC ikiendeleza Ufalme wake nchini TZ.
Kweli wanyarwanda hampendani
 
Nauliza tuu sio kwa ubaya, kipindi kile simba inachukua back2back huyu erweyemamu alikuwepo?
 
Nauliza tuu sio kwa ubaya, kipindi kile simba inachukua back2back huyu erweyemamu alikuwepo?
Back to Back ya Simba kipindi kile ilitokana na Airtel Money pamoja na Nguvu ya Hayati aliyekuwa mwana Simba kama ambavyo hata Back to Back ya sasa ya Yanga SC inatokana na Tigo Pesa huku Mama nae kwa Kushirikiana na Mstaafu wake ambaye pia ni Mshauri wake wakiwapa Nguvu. Ukiwa Mtu wa Mpira hapa utanielewa ila ukiwa ni Tomaso Tukuka kamwe hutonielewa.

Nimemaliza.
 
Back to Back ya Simba kipindi kile ilitokana na Airtel Money pamoja na Nguvu ya Hayati aliyekuwa mwana Simba kama ambavyo hata Back to Back ya sasa ya Yanga SC inatokana na Tigo Pesa huku Mama nae kwa Kushirikiana na Mstaafu wake ambaye pia ni Mshauri wake wakiwapa Nguvu. Ukiwa Mtu wa Mpira hapa utanielewa ila ukiwa ni Tomaso Tukuka kamwe hutonielewa.

Nimemaliza.
Got you
 
Klabu ya Simba imemrejesha kikosini Patrick Rweyemamu kuendelea na majukumu yake ya kuwa meneja wa timu hiyo.

Rweyemamu amerejeshwa katika majukumu hayo baada ya msimu uliopita kuondolewa kwenye nafasi hiyo na kuwa Mkuu wa Programu za Soka la Vijana klabuni hapo.

Kurejea kwake anachukua nafasi ya Mikael Igendia raia wa Kenya ambaye alikuwa Meneja wa Simba na Mkuu wa Sayansi ya Michezo. Kumbuka Igendia wakati anatambulishwa ndani ya Simba, alichukua nafasi ya Rweyemamu.

Baada ya kurejeshwa katika nafasi hiyo, Rweyemamu anatarajia kusafiri leo mchana kutoka Dar es Salaam kuelekea Ismailia nchini Misri kwa ajili ya kujiunga na kambi ya Simba iliyopo huko tangu Julai 8 mwaka huu.

Chanzo: mwanaspoti_tz

Hivi ( kwa Sisi Watu wa Mpira wa Bongo ) kuna ambaye hajui kuwa Wachezaji wa Simba SC akina Chama na Mkude pamoja na Wengineo walikuwa wakimpa Rushwa wakiwa Kambini na Usiku wanatoroka kwenda Kula Bata na kununua Malaya Juliana na Beach Kidimbwi hadi mmoja akaibiwa Simu yake na Masela?

Hivi ( kwa Sisi Watu wa Mpira wa Bongo ) kuna ambaye hajui kuwa Rweymamu na Matola ni Marafiki wakubwa na ni Vinara wa Kugawa Wachezaji, kupiga Majungu, kugombanisha Benchi la Ufundi na kupenda Rushwa ( 10% ) kutoka kwa Wachezaji ili wamshawishi Kocha awape namba?

au mnadhani akina GENTAMYCINE hatujui kuwa Makocha wote waliopita Simba SC wakati Rweymamu akiwa Meneja walimlalamikia sana kwa tabia yake ya kupenda kuwa karibu kupitiliza na Wachezaji huku wengine hadi Akiwakuwadia Mishangingi ili ajipatie 10% yake na kuwadharau Makocha Wakuu?

Hii taarifa imenisikitisha sana tu na kwa mbali sasa naweza kuona tena Yanga SC ikiendeleza Ufalme wake nchini TZ.
Upuuzi wa timu yangu pendwa upo hapo yaani bado tuna habari za kubebana bebana.
 
Rweymamu akiwa meneja alikorofishana na uchebe kwa kutaka kumuingilia majukumu yake ya kufanya sub.
Alipeleka umbeya kwa viongozi baada ya kocha Pablo Kigoma simba isifanye mazoezi kwenye uwanja wa ushirika Moshi .
Anampenda sifa na kuzungumza ovyo, Kuna mechi ya Simba na yanga Morison alivyofunga goli kabla ya mechi nilikutana na mshabiki wa yanga gkanitajia kikosi Cha Simba habari akiwa smexipata kwa huyu jamaa.
 
Back to Back ya Simba kipindi kile ilitokana na Airtel Money pamoja na Nguvu ya Hayati aliyekuwa mwana Simba kama ambavyo hata Back to Back ya sasa ya Yanga SC inatokana na Tigo Pesa huku Mama nae kwa Kushirikiana na Mstaafu wake ambaye pia ni Mshauri wake wakiwapa Nguvu. Ukiwa Mtu wa Mpira hapa utanielewa ila ukiwa ni Tomaso Tukuka kamwe hutonielewa.

Nimemaliza.
Kama ndio hivyo Basi ni sahihi tuu Kwa huyo Rweyu kuwateuliwa Kwa kuwa back-up inatoka juu kulingana na upande wa Chifu wa kipindi hicho,,hao kumbe ni pazia Tu,,Maamuzi mwingine.
 
Meneja ndiye kiungo kati ya wachezaji na makocha na pia na viongozi. Nadhani ni sahihi kwa Meneja wa timu kuwa na ukaribu na wachezaji ili kuleta urahisi wa kimawasiliano kati ya pande zote mbili. Kukiwa na umbali kati ya Meneja na wachezaji ni rahisi sana kwa wachezaji kukuzunguka na ndicho kilichotokea kipindi cha Igendia.

By nature wachezaji kama wasanii wana kautoto na kauhuni fulani, inabidi ujue jinsi ya kuendana nao.
 
Back
Top Bottom