Simba SC, Mo Dewji na CEO Barbara nawaomba msimjibu lolote (chochote) aliyekuwa Msemaji 'Mnafiki' Haji Manara, ila mtuachie Mashabiki

Simba SC, Mo Dewji na CEO Barbara nawaomba msimjibu lolote (chochote) aliyekuwa Msemaji 'Mnafiki' Haji Manara, ila mtuachie Mashabiki

Semaji la dunia lilosomea CUBA likavishwa nishani pale Lumumba University mjini St.Petersbug 🤣🤣
 
Simbwa bana Sasa wasimjibu wakati wote Wana haiba ya kusutana ..kuanzia boss mpaka bossingwa demu wake
 
Miaka 6 bila mkataba? Kulazwa kwenye makochi ughaibuni? Serikali wanapaswa kumulika hivi vilabu. Hawa gabachoris wanatunyanyasia raia wenzetu ndani ya Nchi yetu

Japo nilikuwa sifagilii matendo na maneno ya kuudhi ya Haji, hapa kuna namna na lazima mbivu & mbichi zijulikane
 
Hahahahahah
Ngoja tuanze nae huyo maana anania mbaya.
Asili ya ukweli huwa haijifichi na ukweli hata ukipuuzwa ukaa na kukumbukwa kwe wenye vichwa vya wenye hekima. Lkn uongo hupepea baada ya kumaliza kazi iliokusudiwa kwa uonho huwo.
Sasa manala anaonekana ni mtu wa namna gani baada ya kuongea machache yake aliosema mwenyewe. Mfano anadai waliofukuzwa simba wamefungwa kwa nn akulizungumza hili na yeye ndie aliepinga taarifa za waliofukuzwa wakati wakizungumzia mkataba aliousema manala kuwa anao?

Lkn pia manala huyu huyu ndio aliemchafua senzo kama msaliti namba moja rejea press yake kwenye mechi ya aly ahal.

Anasema alikuwa anajigaramia.kwa.kila kitu lkn kabla ya kukataa ajasema na zile fine alizokuwa anapigwa na TFF nani alikuwa anamlipia?

Manara press ya leo anakuwa ni kama anagombanisha simba na azam au anagombanisha MO na azam kwa uchonganishi huu wa jicho la tatu manala kajionesha uhalisia wake.
Kama huwezi hata kuandika jina la manara,unaandika manala,we utakuwa zezeta sana

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Anayoyasema Hajis Manara club isipotolea ufafanuzi basi tutajua ni ukweli mtupu 100%

Kubalance story inabidi tusikilize upande wa pili

Acha mvua inyeshe tujue panapovuja

Hata na hivyo mtu akitoneshwa kwenye mshono na kitu kizito chenye ncha kali hali huwa mbaya
Ni kweli kabisa,nimetonywa anajibiwa kesho

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Miaka 6 bila mkataba? Kulazwa kwenye makochi ughaibuni? Serikali wanapaswa kumulika hivi vilabu. Hawa gabachoris wanatunyanyasia raia wenzetu ndani ya Nchi yetu

Japo nilikuwa sifagilii matendo na maneno ya kuudhi ya Haji, hapa kuna namna na lazima mbivu & mbichi zijulikane
Miaka 6 bila mkataba, kalala kwenye makoshi bla bla bla..

Bado tiketi za ndege alikuwa akinunua mwenyewe na leo kwenye press kaenda na mabaunsa watatu! Hela zinatoka wapi? Yule kapiga hela sana ila kama kawaida yake ku play victim!
 
Totally unprofessional from Manara. Mimi sikuwahi kuwa mfuasi wake tokea akiwa Simba.

Ukiachilia tu sifa yake kubwa ya uhamasishaji Manara hafai kupewa nafasi ya maana sehemu yoyote maana ni mropokaji/msema hovyo.

Hata kama ukiachana na mwajiri wako kwa ubaya kwa mtu anaejitambua huwezi kuenda kumchafua sehemu hasa kwenye media.

Hii itakufanya kutoaminika hata na huyo anaetaka kukuajiri maana atajua tu kuwa siku mkishindwana nae utaenda kumchafua tu. Manara na wanaomtumia wote akili zao finyu sana. Hawana upeo mzuri wa kufikiri.
NJAA ndugu yangu mbaya sn isikia tu unaweza fanya lolote lile.

WAARABU (GSM ,AZAM ,ASAS)wanamtumia HAJI bila yeye kujua mwisho wa SIKU yeye ndiye atakuwa loozer

Ndugu hujui hii mikiki mikiki yote ni sababu ya ushindani KIBIASHARA lkn lililopo hapa kubwa ni SIFA ndio zinahitajika zaidi
Hujui WAARABU wanavyo penda sifa ........sasa wanaona JINA LA MO na (MHINDI) LINAWEZA Dominate kwenye sehemu kubwa ya AFRICA kama SIMBA itafika mbali kwenye Michuano ya Kimataifa.

Sema watu wengi hawaja usoma mchezo wote.
 
Yaani manara anataka atajwe yeye kwenye nyimbo ya Simba kama nani? Ona sasa kilichotokea kama angekua anatajwa yeye kwenye right za Simba ingekueje
huyu jamaa ni punguani. yaani anaanika siri za ofisi halafu kesho anategemea kufanya biashara na watu, yaani mtu awe tayari kufanya biashara na mtu mropokaji asiye na siri. halafu kesho anategemea aingie kwenye siasa zenye siri lukuki za chama. akili ama mavi yamejaa kichwani
 
NJAA ndugu yangu mbaya sn isikia tu unaweza fanya lolote lile.

WAARABU (GSM ,AZAM ,ASAS)wanamtumia HAJI bila yeye kujua mwisho wa SIKU yeye ndiye atakuwa loozer

Ndugu hujui hii mikiki mikiki yote ni sababu ya ushindani KIBIASHARA lkn lililopo hapa kubwa ni SIFA ndio zinahitajika zaidi
Hujui WAARABU wanavyo penda sifa ........sasa wanaona JINA LA MO na (MHINDI) LINAWEZA Dominate kwenye sehemu kubwa ya AFRICA kama SIMBA itafika mbali kwenye Michuano ya Kimataifa.

Sema watu wengi hawaja usoma mchezo wote.
na haya ndio majibu ya kwa nini coverage imefanywa na Azam Tv.
 
Miaka 6 bila mkataba, kalala kwenye makoshi bla bla bla..

Bado tiketi za ndege alikuwa akinunua mwenyewe na leo kwenye press kaenda na mabaunsa watatu! Hela zinatoka wapi? Yule kapiga hela sana ila kama kawaida yake ku play victim!
kama vile sisi tulimtuma kufanya kazi bila mkataba. ujinga mtupu. kama mwajiri hakupi mkataba si unasepa kiroho safi unatafuta kazi nyingine.
 
huyu jamaa ni punguani. yaani anaanika siri za ofisi halafu kesho anategemea kufanya biashara na watu, yaani mtu awe tayari kufanya biashara na mtu mropokaji asiye na siri. halafu kesho anategemea aingie kwenye siasa zenye siri lukuki za chama. akili ama mavi yamejaa kichwani
Halafu ni kwa nini yeye ndio awasemee hao tisa waliofukuzwa kupitia Barbra? Wao hawana midomo? Watu tisa wapo kimya yeye ndio awasemee...upuuzi mtupu!
Walah walah kibao tumepita huko tunataka mpira.
 
Back
Top Bottom