mmh
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,910
- 5,084
MfuateManara ni mtu makii, wahindi ni wababaishaji sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MfuateManara ni mtu makii, wahindi ni wababaishaji sana
Kwahiyo mtu kusema michezo michafu inayoendelea klabuni ni kuichafua?
Aliyeturoga waTZ alifanikiwa 'kweri kweri'
Mie sio kama wewe uliyemfuata kanjiMfuate
Mmetoa droo tena ayaawMie sio kama wewe uliyemfuata kanji
We hujavumulia? MfuateHapana tuwe wakweli manara kavumilia mengi sana na hoja zake simba hakuna wakujibu
Hahahaha unamzidi nn manara Kwa mfano jamaa, zaidi ya uchawi wa kuiligea sumbwaKama Mwendawazimu Mwandamizi tu.
Unahudhuria mkutano mkuu wa club?Mi ni Simba ila manara yupo sahihi 100% mo aweke wazi Simba imeingiza kiasi gani kwa hio miaka 4 na manara alichokuwa anakitetea ni image rights zake wengi msiojua soka mtamponda ila mo ni mswahili sana ndo maana walimteka
Hilo ni swali wakati uliopo au wakati ujao au uliopita mkuuUnahudhuria mkutano mkuu wa club?
kama umenifukuza kwa kashifa mbaya lazima na mimi kama nikipewa nafasi au nina uwezo wa kukuchafua nifanye hivyo lakini kama tumeachana kwa uzuri sawa,hivyo basi manara anashambuliwa kutokana na nguvu ya pesa ya Mo,wala hakuna anaejali.
Haji manara anajua mengi ndani ya simba kuliko nyie mnaomshambulia humu jukwaani,hivyo ni afadhali kujikalia kimya kama huna unalojua kuliko kutetea ujinga.kwa upofu huu ndio maana wakati mwingine serikali ikiwatia jamba jamba hawa matajiri watu wanapiga kelele eti serikali inawaonea wakati wana mambo ya ajabu sana.
1.Ni deni una uhakika? Au ndio unamchukia, bila ushahidi?Kwakukusadia BIl 21 haikuwa ruzuku ni deni na amewasainisha baadhi ya viongozi tunataka hatueleze mkopo kaikopesha simba kwa idhini ya nani?
2. Kumbe huelewi kitu kuhusu hii kitu...sina cha kusema
3. Hata kama ni charity nani kakwambia intangaza bure....unajua hiyo charity inapata wapi pesa? kadanganya nini hao wanaotoa Pesa...unaelewa mambo ya marketing kweli wewe?
haya Mo protector nayo ni charity?
Nimemtaja Dewji kwenye nilichosema hapo?Nyie ni wajinga sana hiyo miaka sita kwani yote ni ya MO Dewij?
Mbona kuanzia 2015 hamsemi kuwa timu ilikuwa chini ya Evans Aveva na alikuwa hahapewa huo mkataba!
Unajua Mo ameanza kuichukua Simba lini ?
Nyie ni wajinga sana
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Kakulia kariakoo ana uswahili mwingi alafu anafaa kuwa makanga stendi.Totally unprofessional from Manara. Mimi sikuwahi kuwa mfuasi wake tokea akiwa Simba.
Ukiachilia tu sifa yake kubwa ya uhamasishaji Manara hafai kupewa nafasi ya maana sehemu yoyote maana ni mropokaji/msema hovyo.
Hata kama ukiachana na mwajiri wako kwa ubaya kwa mtu anaejitambua huwezi kuenda kumchafua sehemu hasa kwenye media.
Hii itakufanya kutoaminika hata na huyo anaetaka kukuajiri maana atajua tu kuwa siku mkishindwana nae utaenda kumchafua tu. Manara na wanaomtumia wote akili zao finyu sana. Hawana upeo mzuri wa kufikiri.
Sasa mtu akipata faida kuna shida gani?Haji kaongea ukweli mtupu maana tulikuwa tunaongea humu kwamba uyu mo anaifanya simba kuwa ya familia yake mnabisha, wewe utasemaje upati faida kwenye timu miaka yote 4?
Hivi kuna mfanyabiashara anakubali hasara tu kila siku? Ni njia mojawapo ya kuwanyonya watu iyo anaanza kujiwekea ulinzi ili aendelee kufaidika watu wasihoji
Yani kama unaamini Manara ametumwa basi kazi ipo.Alivyokuwa anaropoka hovyo wakati yupo Simba alikuwa anatumwa na nani?Ametumwa kuharibu focus na concentration ya usajili wetu makini. Ignore him completely. Tuko kwenye usajili na maandalizi ya msimu mpya.
Kaongea story za zamaaniiii za nini sasa, awape haohao mabingwa wa kihistoria ndo wanapendaga hizo mambo.
Mawazo mgando haya....Amepewa na ulinzi kabsa na watu wanao mtuma ila angejua kutumika ni kubaya angetulia
Yaani alipie hotel na akodi mabaunsa tena akiwa Hana kazi!! Tumia brain yako vizuri chief. The one who pay the bill is the master minder. Katumwa huyoYani kama unaamini Manara ametumwa basi kazi ipo.Alivyokuwa anaropoka hovyo wakati yupo Simba alikuwa anatumwa na nani?