demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Simba SC wameanza Ligi rasmi, yale matokeo dhidi ya kikosi cha pili cha JKT ruvu yasikupe taswira ya namna mechi zao zote za ligikuu zinaenda kuwa. Pia achana na yale matokeo ya pale kapetini jijini Dar.
Kwa kawaida Ligi yao halisi inachezwa mikoani.
Wanajangwani tunakuja mdogo-mdogo kwenye nafasi yetu.
FT: Mbao FC 2 - 2 BilionMojaPointTatu
Kwa kawaida Ligi yao halisi inachezwa mikoani.
Wanajangwani tunakuja mdogo-mdogo kwenye nafasi yetu.
FT: Mbao FC 2 - 2 BilionMojaPointTatu