Simba SC ni lini mtatoa tamko lenu kali dhidi ya Utangazaji wa Chuki na Kiuchochezi wa Maulid Kitenge na Wasafi FM yake?

Mbona kama wewe ndo una roho mbaya kwa yanga umeandika umbea mbea tu. Mara calihnyo sijui mukoko ulienda kupiga chabo wapi ukaona wanarogana. Haya na kitenge kaleta umbea gani?
 
Wasafi sio yake semea kitenge kama kitenge, akitimuliwa mwingine anafanya kazi ile ni tasisi ya mtu kajiliwa nae pale,

Yule ni [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196] koo lazima uteseke kutoka mapinduz cup
 
Wewe Genta na utelembwe wenzio mnawashwa sana .
Nyie media house zote mnadai zinawasemea mbovu nyie tu?

Mnataka nini sijui upuuzi..
 
Habari za simba zina mvuto kwa kuwa ni taifa kubwa
 
Simba ndio habari kubwa ya michezo hapa nchini kwa sasa, kila mmoja ataiongelea kwa namna anavyoiona yeye.
 
Umeongea madini.
Kwanza kitenge asidhani tunawachukia Yanga kama anavyofikiri mpumbafu huyo sisi ushabiki kwetu ni burudani.
Mafanikio ya timu yoyote Tanzania kimataifa yana faida kubwa kwetu sote kama watz.

Naunga mkono atolewe tamko kali.
 
Mpuuzi ni oscaroscar kwa kuichukia Yanga
 
Mpuuzi tu huyo. Mwanaume akishakua na kidoti kisha hana kisogo jua anapumuliwa kwenye flat kisogo chake
 
Mashabiki wengi wa mbumbumbu fc nba shida Sana. Hakuna mwezi unaweza kukata Mabara Hajaenda Wasafi. Hata mkuu wa bodi nae Lila siku anashinda Wasafi. Kazi za Simba zinafanyiwa promo kubwa Wasafi. Sasa ninyi mnajifanya mna akili kuliko uongozi wenu?
Kila siku Magori anasikiliza Wasafi , na kufanya baadhi ya mambo ya klabu yenu.
Acha CHUKI za kijinga utapumuliwa dogo
 
Kwani wewe umeacha kuinamishwa? Itakua ajabu mchawi kuacha kuroga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…