Simba SC ni matumaini yangu mmejiandaa vilivyo kuhusu Sakata la Yanga SC na Mchezaji Morisson kwani naona limekaa vibaya Kwetu huko CAS

Simba SC ni matumaini yangu mmejiandaa vilivyo kuhusu Sakata la Yanga SC na Mchezaji Morisson kwani naona limekaa vibaya Kwetu huko CAS

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kitendo tu cha Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo duniani ( CAS ) kutupilia mbali Ombi la Mchezaji Bernard Morrison kuwa Wasiisikilize Kesi yake ni ' wake up call ' kwa Simba SC kuwa kuna ' HATARI ' inaenda Kutuangukia na huenda tusiamini na tukaja Kujuta pia.

Tafadhali upesi sana Simba SC iandae Jopo lake la Wanasheria Nguli wakiongozwa na mwana Simba SC Mwenzetu Mzee Said El Maamry na imjumuishe na ' Bingwa ' wa Kuzijua na Kuzitafsiri vyema Sheria za Soka Mzee Ismail Aden Rage waweze Kulikabili hili.

Yanga SC siyo Wajinga ( Ngumbaru ) wala Wapumbavu ( Popoma ) kulishikilia ' Bango ' hili na wala ' tusiwadharau ' kwani yawezekana Kiushahidi na Kihoja wana sehemu wenye uhakika nayo na ambayo itaenda Kutuumbua na Kutugaragaza Simba SC ' Kisheria ' kisha tukaja kuanza kutafutana mbele ya Safari.

Imenibidi taratibu GENTAMYCINE nianze Kufuatilia Rekodi za Mchezaji husika Bernard Morrison ( hasa Kitabia kote alikocheza na nimegundua kuwa ni Samjo Samjo ( Mjanja Mjanja ) sana na si Mtu wa Kumuamini 100% japo nakiri ni Mchezaji mwenye Kipaji kikubwa cha Soka na ni Msaada kwa Timu yoyote ile inayojitambua na yenye Malengo.

Nimeambiwa kuwa kumbe hata kule Afrika Kusini ambapo Simba SC ilienda Kucheza na Kaizer Chiefs FC Mchezaji Bernard Morrison alikuwa anaishi kwa wasiwasi kama ' Digidigi ' kwakuwa kumbe kuna ' Msala ' aliufanya hivyo anatafutwa na Mahakama za huko ili akajibu Mashtaka yake. Na sijui ni kwanini Klabu ya Simba imeamua kulificha hili wakati ' Wafukunyuzi ' wa Taarifa Ngumu, za Hatari na Nyeti akina GENTAMYCINE tumeshazipata.

Naomba Wanasheria wa Simba SC waanze ' Kujinoa ' vilivyo juu ya hili Sakata la Yanga SC na Mchezaji wetu Mghana Bernard Morrison kwani kwa dalili ninazoziona ninaanza Kuogopa kwani kama ni Mpambano wa Ndondi nawaona Yanga SC wanaenda Kutupiga Ngumi Moja ' takatifu ' ya TKO ambayo itatuumiza na Kutugharimu sana na hata kuiharibu ' Brand ' yetu Kimataifa.

Kama tukishinda hii Kesi na Mchezaji wetu Bernard Morrison kuwa hana ' Hatia ' nami pia GENTAMYCINE nitafurahi na ndiyo naliombea litokee hilo ila nisiwafiche Moyo wangu na Roho yangu kwa pamoja vimeanza kuwa na ' Hofu ' ya hili Suala Yanga SC kuibuka Washindi na CAS kuamua Haki kuwa Kwao 100%.
 
kama Morrison ana kesi south africa naamini kuna mkataba wa kubadilishana wahalifu na south africa yeye ni mtu maarufu wanajua yuko hapa na airport alipitaje?

Kama unazungumzia ile kesi ya kununua gari la wizi ,orlando pirates wali solve ile issue na baada ya hapo walimchukia sana wakaachana naye mazima baada ya kuwachezea mechi kama sita tu
 
kama morrison ana kesi south africa naamini kuna mkataba wa kubadilishana wahalifu na south africa yeye ni mtu maarufu wanajua yuko hapa na airport alipitaje?
Kama unazungumzia ile kesi ya kununua gari la wizi ,orlando pirates wali solve ile issue na baada ya hapo walimchukia sana wakaachana naye mazima baada ya kuwachezea mechi kama sita tu
Huna ukijuacho kaa Kimya nisikupuuze.
 
Kwahiyo Wasafi FM na EFM ni Waongo?
Kwa hiyo kika wanachosema wasafi na efm unakiamini.wake up bro huwajui yanga.ile barua fake iliandikwa usiku na viongozi wa yanga baada ya morison kuwafunga namungo goli la kideo ili kuwatuliza mapopoma.hakuna hearing leo tarehe mbili huko CAS angalia cause list yao popoma wee
 
Huna ukijuacho kaa Kimya nisikupuuze.
kwenda zako unajifanya mjuaji ni kesi gani hiyo serikali ya south africa itamtaka mhalifu kama morrison isimpate?mtu maarufu na wanajua yuko hapa nchini?

hakucheza mechi sababu kocha siku zote anajua siyo mkabaji mzuri ila south africa alikuwepo ingawa alichelewa kufika yeye na pascal wawa kutokana na issue za visa,simba wachezaji wengi wanatoka Sadc countries wanaingia kirahisi south africa wengine free visa kabisa..SASA KAMA HUNA HOJA YA KUJIBU KAUSHA OTHERWISE UJE NA ILE MITUSI YAKO YA KIPOPOMA ,MBUZI MZEE WEWE.

Capture2222.PNG
 
Kitendo tu cha Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo duniani ( CAS ) kutupilia mbali Ombi la Mchezaji Bernard Morrison kuwa Wasiisikilize Kesi yake ni ' wake up call ' kwa Simba SC kuwa kuna ' HATARI ' inaenda Kutuangukia na huenda tusiamini na tukaja Kujuta pia...
Halafu kule Yanga kuna Mwanasheria Nguli Bw. Mgongolwa huyo jamaa ni shida. Zaidi ya haya, Mkuu Genta vipi waganga wenu wanasemaje kuhusu hili sakata?
 
kwenda zako unajifanya mjuaji ni kesi gani hiyo serikali ya south africa itamtaka mhalifu kama morrison isimpate?mtu maarufu na wanajua yuko hapa nchini?
hakucheza mechi sababu kocha siku zote anajua siyo mkabaji mzuri ila south africa alikuwepo ingawa alichelewa kufika yeye na pascal wawa kutokana na issue za visa,simba wachezaji wengi wanatoka Sadc countries wanaingia kirahisi south africa wengine free visa kabisa..SASA KAMA HUNA HOJA YA KUJIBU KAUSHA OTHERWISE UJE NA ILE MITUSI YAKO YA KIPOPOMA ,MBUZI MZEE WEWEView attachment 1805762
Uliyoyandika yote ni Upumbavu mtupu.
 
I don't buy into this, hao Yanga kama walishindwa hapa kwanini wakubali hiyo kesi irudishwe tena hapa? au safari hii itasikilizwa na chombo tofauti ya kile cha mwanzo? na kama CAS wameamua kesi irudi hapa maana yake wao CAS wameshindwa kuisikiliza na kuamua? kuna usanii mwingi sana hapa.

Mpaka nione nakala ya hayo maamuzi ya CAS sio kelele za hao wajinga wa EFM nimeshawazoea kuokoteza habari ilimradi waiseme vibaya Simba.
 
I don't buy into this, hao Yanga kama walishindwa hapa kwa hiyo kwanini wakubali hiyo kesi irudishwe tena hapa? au safari hii itasikilizwa na chombo tofauti ya kile cha mwanzo? na kama CAS wameamua kesi irudi hapa maana yake wao CAS wameshindwa kuisikiliza na kuamua? kuna usanii mwingi sana hapa.

Mpaka nione nakala ya hayo maamuzi ya CAS sio kelele za hao wajinga wa EFM nimeshawazoea kuokoteza habari ilimradi waiseme vibaya Simba.
yanga wanadai morisson aliweka pingamizi kwamba utopolo hawajamaliza ngazi zote za rufaa huku bongo ila CAS wamesema kesi isikilizwe huko kwao yaani ni vululuvuluuu maana mwakalebela alishasema walilipa dollar 12,000 na wakapangiwa judge toka machester hiyo ilikuwa february kila siku story zinabadilika ,ingekuwa morisson na simba nao wanaongeaongea tungejua mengi zaidi
 
Mimi sio mwanasheria kesi ikisikilizwa kwa maandishi parties hawaendi mahakamani hivyo hiyo kesi haiwezi kuwa kwenye cause list. Nina uzoefu wa mahakamani miaka 20.

Kwa hiyo ktk kupeleka hoja kimaandishi parties wanapewa timeline lini wapeleke hoja zao na mwisho hukumu itatolewa, manunu fc tulieni dawa iigie kama fft yenu iiliamua kesi kimangumashi
 
Kitendo tu cha Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo duniani ( CAS ) kutupilia mbali Ombi la Mchezaji Bernard Morrison kuwa Wasiisikilize Kesi yake ni ' wake up call ' kwa Simba SC kuwa kuna ' HATARI ' inaenda Kutuangukia na huenda tusiamini na tukaja Kujuta pia.
Dah mkuu utopolo ndo wanavyotaka hivi tuingie mhaho,,na wawazuge washabiki wao kua wao kama viongozi hawana kosa kwenye issue ya morrison ni tff walilazmisha kumpeleka simba.

Hakuna hearing ya case ya morrison vs utopolo ilofnyika trh2,,
Ngoja akifunga tena goli tuskie muendelezo wa kesi inaendeleaje huko cas ya bondeni
 
Back
Top Bottom