Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Binafsi nilikuwa namuona Mgunda kama anatosha ila nadhani management ilifika angle hiyo thats why ikaona umuhimu wa kuleta kocha mpya.
Manzoki moja ya ahadi yake alisema akiwa na kocha wake (ambaye ndio huyu) asipokuwa top scorer kwenye ligi yetu basi atarudisha pesa zote za usajili
Ni swala la muda tu Manzoki anatua unyamani.
Manzoki moja ya ahadi yake alisema akiwa na kocha wake (ambaye ndio huyu) asipokuwa top scorer kwenye ligi yetu basi atarudisha pesa zote za usajili
Ni swala la muda tu Manzoki anatua unyamani.