Simba SC Tanzania yamtambulisha kocha mpya Robertinho

Simba SC Tanzania yamtambulisha kocha mpya Robertinho

Binafsi nilikuwa namuona Mgunda kama anatosha ila nadhani management ilifika angle hiyo thats why ikaona umuhimu wa kuleta kocha mpya...
Manzokini hyped sana atapotea
 
Hapi walipofanya utambulisho ni gereji au yard ya magari?
 
Atulie kwanza asianze kujaribu na kupanga vikosi upya tena tukiwa katika makundi!

Makocha wapya hupanga vikosi kwa kuangalia juhudi za wachezaji kwenye mazoezi. Wengine huangalia maumbo
 
Du Mgunda pole sana, ulikuwa na Takwimu nzuri sana. Ila ndio asili ya mtu mweusi ungekuwa kocha wa rangi nyeupe kwa Takwimu hizo wala usingefukuzwa Bali wangeweka nguvu kusajili wachezaji wazuri.
Wahuni tu juzi, Mo kaweka kura twitter eti tunahitaji kocha mpya au La? Badala ya kufanya analysis ya kitaalam.

Kwani Mgunda kakosea wapi?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Tuna kasumba ya kuwaamini zaidi wageni kuliko wazawa. Ila ki takwimu Mgunda alikuwa ni kocha aliyefanya vizuri mpaka sasa kwanzia klabu bingwa hadi ligi kuu...
Yanga inaongozwa na mzawa au mnasahau mlimwacha mwambusi mkaleta kocha mgeni
 
YIKPE alisema anaweza kufunga Magoli 40, Sserunkuma alisema atafunga si chini ya kamba 30, Mavugo nae alisema hivyo, Balinya alisema asipofikisha goli 35 aulizwe yeye.

Mpira ni Zaidi ya maneno.
Makolo hawajui hilo
 
Mgunda hana shida atakuwa msaidizi,
Mbona Kaze alikuja yanga kama kocha mkuu sasa ni msaidizi
 
Kwanini tunamdharau Mgunda? Kaikuta timu katikati ya Ligi kaipeleka mpaka makundi ya CAF viongozi wetu wapuuzi sana
Huyo aliletwa kama kocha wa muda tangu mwanzo, na ilikuwa inajulikana kabisa kuwa anasakwa kocha wa kudumu. Tatizo wabongo tunajisahau, yaan kwavile anashinda shinda tunajisahau. Mambo yakiharibika ndio tunakurupuka na matusi juu.
 
YIKPE alisema anaweza kufunga Magoli 40, Sserunkuma alisema atafunga si chini ya kamba 30, Mavugo nae alisema hivyo, Balinya alisema asipofikisha goli 35 aulizwe yeye.

Mpira ni Zaidi ya maneno.
Na Hersi alisema msipochukua kombe aulizwe yeye
 
Hizi kaaumba zitawaghalimu nyie wana simba,badala ya kutafuta wachezaji maahiri wa kuziba mapungufu mnakimbilia kwa mwalimu,kisa tu mnataka mwalimu mwenye 'rangi'..binafsi mimi japo ni 'mwananchi'lia lia sijapenda alichofanyiwa Mzawa Mgunda.
 
Leteni wachezaji,mgunda anatosha
Anatosha wakati kuna mechi timu imedondosha point kijinga tu. Timu imezidiwa, yeye kaweka tu mikono mifukoni. Mfano ile sare ya kmc mbili mbili tena taifa, mko mbele mbili bila zinachomolewa. Na mbeya city mnaongoza moja bila mnachomolewa ndio anahangaika kufanya sub, wakati timu ilipoteana muda mrefu hadi inasawazishiwa goli. Aliigeuza Simba kuwa sawa na coast. Tofauti ya point zilikuwa mbili, badala ya kupungua, zimezidi sasa ni saba!! Apumzike kidogo ajifunze.
 
Back
Top Bottom