PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
Wewe. Mashindano ya kimataifa sio Ligi ya NBC kule kuna hitajika mbinu na sio maneno.Kwanini tunamdharau Mgunda? Kaikuta timu katikati ya Ligi kaipeleka mpaka makundi ya CAF viongozi wetu wapuuzi sana
Juma mgunda ni kocha mzuri ila Anahitaji MTU Ambaye Watasaidiana Mwenye Mbinu zaidi.
Kwa hili Nawapongeza sana Simba wameona Mbali. Ukiangalia mkataba wa miaka 2 kwa coach ni kuonyesha Simba wana Malengo ya Muda Mrefu.
Kwenye Malengo kuna hitaji Subira Leo Arsenal wasingekua wanapata matokeo mazuri kama wangemfukuza coach wao. Lakini hawakuangalia matokeo waliangalia project ya coach na kumpa sapoti na sasa wanakula matunda ya uvumilivu.
Niwito Wangu kwa Simba tukubali kuvumilia. Mambo mazuri yanahitaji uvumilivu sana.