Simba SC tusilazimishe kwa Magumashi ya Airtel Money ili tuwe nafasi ya Pili NBC Premier League, ukweli ni kwamba bado tuna Shida Kubwa za Kimsingi

Simba SC tusilazimishe kwa Magumashi ya Airtel Money ili tuwe nafasi ya Pili NBC Premier League, ukweli ni kwamba bado tuna Shida Kubwa za Kimsingi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tena natamani sana wana Simba SC Wenzangu wangeingia katika Mawazo yangu ya kutaka tuwe nafasi ya Tatu ili twende Kombe la Shirikisho ( kama litakuwepo ) ili taratibu tunapoanza Kukijenga Kikosi chetu kwa Msimu ujao tuanzie huko kwa Kujipima ila kwa Jicho la langu Tukuka la Kiufundi hata Simba SC ikiwa nafasi ya Pili NBC Premier League Msimu huu na Kushiriki CAFCL tunaenda Kutia Aibu kuliko hata kwa mwaka huu.
 
Leo umeandika jambo la maana.
Sasa naona nimekuambukiza akili zangu, umepata kidogo, endelea kunifatilia hapa jf
 
Mara paap mechi ya raundi ya pili ni Simba vs Far Rabat.
 
Back
Top Bottom