Simba SC v Young Africans SC

Mkuu Yosso wamo: Chanongo, Seseme na William Lucian.
Chanongo he's not Yosso bwana sema tu kachomoza ghafla kutokea team za mtaani akapita Simba B na hatimaye team ya wakubwa, kwa umri anaweza kulingana na Kiiza
 
Mlioko uwanjani hebu tuambieni hali ya mchezo ikoje, ni kwamba Mnyama kazidiwa sana au ni 50-50.
 
Chanongo he's not Yosso bwana sema tu kachomoza ghafla kutokea team za mtaani akapita Simba B na hatimaye team ya wakubwa, kwa umri anaweza kulingana na Kiiza

Mie sijui umri wake, lakini kwa sababu kaanzia Simba B ndo maana tunamuona Yosso.
 
Kudadadeki tumewakosakosa bao 2 za kufuatana
 
Mlioko uwanjani hebu tuambieni hali ya mchezo ikoje, ni kwamba Mnyama kazidiwa sana au ni 50-50.

Mpaka sasa ni simba ndio ana takata kwa pas za uhakika, ila hawa yebo walicho fanya ni kutangulia stand wakati nauli anayo simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…