Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kavumbaguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Acha uoga mkuu.....Tuko pamoja mkuu, hata mi nimetafuta radio iliyo online nimekutana na Uhuru pekee ndio walio mtandaoni; Ila sidhani kama nitaweza kumaliza maana, leo nna wasiwasi kama simba tutatoka
Yanga 1 Simba 0 Kavumbagu
Tuko pamoja mkuu, hata mi nimetafuta radio iliyo online nimekutana na Uhuru pekee ndio walio mtandaoni; Ila sidhani kama nitaweza kumaliza maana, leo nna wasiwasi kama simba tutatoka
Mbona hali inataka kuwa mbaya mapema.
Yanga wanakosa goli
Mkuu Mwita Maranya kumbe na huku unaingia safi sana nimefurahi kukuona huku.Mkakati wa Bhakhresa ni kuhakikisha kwamba Azam inapendwa na ndio maana mechi zote za azama zinaonyeshwa na hasa siku ambayo simba inacheza ama Yanga,huu ni mkakati wake na analipia fedha nyingi sana mkuu.
Vijana wa Simba wanatakata.
Kudadadadaaaadeki.......mbona mapema hivyo? Ila linarudi na tunaongeza mengine...Yanga 1 Simba 0 Kavumbagu
nIMEANZA KUONA DALILI YA ZILE 5 KURUDI.tehe tehe tehe tehe tehe!!!!!
Mkuu wabhejasana ni muhimu kushiriki kila nyanja ya maisha, na michezo ni mojawapo ya eneo ambalo linasaidia sana kuondoa stress na hasira. Baada ya kukurukakara za siasa all week days ni kawaida yangu kujichanganya viwanja vya michezo siku za weekend.
Tuko pamoja mkuu mimi niko upande wa jangwani bila shaka wewe uko msimbazi kwa mzee wa bastola.