Simba SC v Young Africans SC

Simba SC v Young Africans SC

nafarijika kumuona david luhende akianza leo, cse anankumbsha wkt tupo wte sengerema,ktka ligi ya mkoa mza
 
Du! Star tv wanaonyesha mechi ya oljoro na azam,leo nipo kona mbaya nasikiliza mpira wa yanga na simba kupitia radio one sterio.
 
Tupieni na picha basi wakuu.

uploadfromtaptalk1368882234212.jpguploadfromtaptalk1368882234212.jpg
 
Heres Young Africans line-up to face Simba SC today:
1.Ally Mustapha - 1
2.Mbuyu Twite - 6
3.David Luhende - 29
4.Nadir Haroub 'Cannavaro' -23
5.Kelvin Yondani - 5
6.Athumani Idd 'Chuji'- 24
7.Saimon Msuva - 27
8.Frank Domayo - 18
9.Didier Kavumbagu - 7
10.Hamis Kiiza - 20
11.Haruna Niyonzima - 8

Subs:
1.Said Mohamed - 30
2.Juma Abdul - 14
3.Oscae Joshua - 4
4.Nurdin Bakari - 22
5.Nizar Khalfani -16
6.Said Bahanauzi - 11
7.Jerson Tegete - 10

Kila la kheri Mabingwa wa Tanzania 2013/2014 DAR YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB. Kila la kheri Mabingwa wa kihistoria Tanzania.

DAR ES SALAAM YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB Timu ya Wananchi; Timu ya Watanzania.

Yanga piga hao Boko haramu 7-0!!!:A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1:
 
Nasikia Star Tv wanarusha wa Azam

Bakhresa ndiye anawalipa startv ili warushe mipambano ya Azam wakati timu nyingine zikisubiri kulipwa na wenye tv ili warushe mechi zao. Yani Azam wanakwenda anti clockwise movement lakini wanelekea kufika.
 
Back
Top Bottom