Simba SC v Young Africans SC


Umekosea Mkuu, ni hivi Simba 0 - Yanga 5
 
Niko uwanjani taifa mashabiki kama nyuki na kwa jinsi vuvuzela zinavyolia ni Yaangaaa oyeeeeeeeeee
Mkuu ChescoMatunda hivi ndio wewe yule Chesco Matunda bingwa wa salam wa enzi zile na ambaye anatuma sana msg kwenye vipindi vya michezo na mnazi mkubwa wa Yanga au umecopy na ku past I'd ya mshikaji?
 
Last edited by a moderator:
nasikia mpaka sasa saa sita hakujadondoka hata tone moja la mvua ikiwa ni dalili ya timu ya simba kupoteza, au wachawi wao wamebadilihsa mikakati?

Leo Simba wanachukua 7.
 
Mkuu nashukuru kwa ufafanuzi, bahati mbaya leo sitakuwepo uwanjani, itabidi tuwasiliane zaidi kama nitaona inafaa unipe hiyo ajira.

duh, yaani watu mnalamba ajira humuhumu. JF kiboko.
 
yanga wanaingia wakiwa na historia ya kipekee ya kuchapa refa makofi , mateke na ngumi za haja katika ligi kuu tanzania bara ukipenda waite vijana wa jangwani lishe kwa tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…