Simba SC v Young Africans SC

Simba SC v Young Africans SC

hivi aliyepiga penati ni nani maana mara ali mustafa mara musa mude mara william?
 
vipi mkuu mbona dogo anauza gemu..

Kwa sababu hii ni mechi ya mwisho na hatushiriki mechi za CAF ngoja tuache iishe hii ili tuachane na stress za kufungwa, maana mwaka huu mnyama katukosesha raha sana.
 
Huyu Ngassa simuelewi kabisaaaaa,kalamba advance lakini anakaza balaa.

Dk45+2:Simba0-1Yanga.
Kavumbagu dk4.
 
Back
Top Bottom