Mawili yalikuwa ya move, na matatu move ziliharibiwa ndo maana zikatoka penati; Mkuu hata hivyo nimewapongeza ila ninachosema ni kwamba timu haikuwa na uwezo wa kufunga goli sita: magoli machache ndo yenu, magoli mengi Simba huwa anafunga akiwa vizuri.
Jikumbushe hapa.
Ungeweka na zile nne nne ili ipendeze, na listi kamili ingekuwa hivi:
Awamu ya Nyerere (JULAI 19, 1977) Simba 6-0 Yanga,
Awamu ya Mwinyi ( JULAI 2, 1994) Simba 4-1 Yanga,
Awamu ya Mkapa (MACHI 31, 2002.) Simba 4-1 Yanga,
Awamu ya Kikwete (MEI 6, 2012) Simba 5-0 Yanga.