Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,327
Mtu aliyekubaka nyumbani kwako kwake atakuacha kweli?
Wanaota hawa waimba taarabu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu aliyekubaka nyumbani kwako kwake atakuacha kweli?
Tayari limeingizwa bao moja na Libolo!Lazima Liwagonge Ngozi tena nataka muuaze nyie kuwafunga halafu wawapige 2 au 3 itatengeneza headline nzuri saana ya kiingereza. . . Libolo's come(commings)from behind to maul SSC
Njooo huku msikitini tukupe lift
Mtu aliyekubaka nyumbani kwako kwake atakuacha kweli?
Hahaha...ndio ulipopark huko...mie nilipark huku petrol station...nawasubiri wadau wengine wa Mbezi Mwisho tuondoke zetu
Umeona eeh? Huyu jamaa mimi nimemshitukia siku nyingi....Simba huyu! Kila Simba ikining'nizwa kama hivi leo na hichi kibolo, utamuona huyo anasepea kwa Wanarambaramba!!Umehamia Azam gafla bin vuu
Daaah, mnatunyima raha wakuu....mbona ivo lakini, tulikuwa tunapeperusha bendera ya taifaKapigwa Kibholo Mnyama kapakatwa kisha kabakwa kwake bila kubisha mbele ya mama yao Malkia CHEZEA LIBORO WEYE Nenda kwao sasa mkaolewe kabisa Msomali tangulia ukachukue Mahari
Umeona eeh? Huyu jamaa mimi nimemshitukia siku nyingi....Simba huyu! Kila Simba ikining'nizwa kama hivi leo na hichi kibolo, utamuona huyo anasepea kwa Wanarambaramba!!
Umehamia Azam gafla bin vuu
Nenda kwa amani mkuu, mi ngoja nikachome sindano ya kisukari fasta
wakuu, 'libolo' kwa kifupi neno hili ni jina la sehemu ya siri ya kiume yaani ule 'mtambo' wenyewe. Kiambishi awali 'li' huonyesha ukubwa wa mtambo huo, maneno mengine ni k.v. Ling'ombe, limtu n.k. Hivyo neno 'libolo' ni tusi kule mza, shy, tbr, git, smy n.k. Simba inabidi washinde tu, wakipigwa wanayanga watawapachika maneno lukuki!