Simba Sc Vs Ruvu Shooting,Uwanja wa Taifa

Sijasoma uzi, mtu mmoja aniquote anisaidie matokeo
 
[SUP]mamayo zenu, mikia fc mnacho jua ni kubwabwaja tuu na kupenyeza lupia, yaani litim la ovyo ovyo kabisa kuzidi kakonko fc, adi huruma[/SUP]
Ukiwakusanya mashabiki wa Utopolo 10 utawapata wenye utimamu wa akili ni wawili ama watatu ndo wanajua nini maana ya utani huwezi kukuta wanatukana kisa mpira, wengi waliosalia akiwemo Bumbuli na wewe hapo ni Group moja la WhatsApp
 
Ha ha ha ..Yaani mpira una maajabu sana..Hapo nani ambaye Mkunungu kati ya anayecheza Insta ana alama 72 kibindoni na yule anacheza Facebook hata nafasi ya pili anahangaika kuipata.

Simba SC NguvuMoja Mnyama Mkali Kulitaka Kulipewa.
Mtani kasome post no.#126 hebu.
 
Asante kwa kukiri kwamba uzembe wote unapatikana Utopolo Deportivo de Mkunungu FC

Wangesema Simba kauli hii umelalamika
Hivi muhindi Katia m ngapi kwenye akaunti ya mikia? Au anaendesha klabu kama Mo energy?
 
Hivi muhindi Katia m ngapi kwenye akaunti ya mikia? Au anaendesha klabu kama Mo energy?
We hujaeleweka bado una wenge na yale mabadiliko ya Chief Mangungo wa Msowero...Ebu malizana na Laliga kwanza kisha uje hapa..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…