Simba SC wana jambo la kujifunza

Simba SC wana jambo la kujifunza

Timu ya wekundu wa msimbazi wana jambo la kujifunza, haswa nini cha kufanya kipindi cha preseason nini umuhimu wa preseason na Benchi la ufundi linanufaika vipi.

Simba wamepeleka timu uturuki ambapo siku 6 zinatumika katika usafiri 3 kwenda 3 kurudi. Hapo ni wiki moja imepotea safarini ambazo ni siku nyingi sana katika mazoezi.

Wachezaji zaidi ya watano waliachwa Tanzania kwa changamoto mbalimbali wakiwemo maingizo mapya. Je kocha anapaswa kukaa na wachezaji wake haswa wapya kwa muda gani? ni wastani wa wiki 4 ( minimum) mpaka 8 ( maximum).

Kumbe kama preseason wangefanyia Tanzania wangekuwa ndani ya huo muda ili kumpa kocha nafasi ya kutosha kuwafanyia wachezaji assessment.

Itoshe kusema kwamba endapo Simba akapoteza ngao ya Jamii huyu kocha atafukuzwa na sio kwa makosa yake bali ni management mbovu waliyonayo.
Ukiwa na pesa berthday party unaifanyia dubai... ukiwa mlala hoi ukumbuki tarehe yako ya kuzaliwa. Acha watu wafurahie pesa zao
 
Ukiwa na pesa berthday party unaifanyia dubai... ukiwa mlala hoi ukumbuki tarehe yako ya kuzaliwa. Acha watu wafurahie pesa zao
Yes furahieni hela zenu huku mkikata tamaa mdogomdogo na league ikianza msije anza kulia mkasahau mmezitumia zikaisha.
 
Kati ya Simba na Yanga nani wa kwanza kwenda Turkey??
Hawa waliopo au unahangaika na hadithi za zamani za kale?Si mazoezi tu.Pia ni motisha kwa timu.Ninyi mkienda Nalyendele kwani kuna mtu atawadai tiketi za kielektroniki na pasipoti?Apangaye alishachagua.Tulia hivyohivyo ubugizwe matoke.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Timu ya wekundu wa msimbazi wana jambo la kujifunza, haswa nini cha kufanya kipindi cha preseason nini umuhimu wa preseason na Benchi la ufundi linanufaika vipi.

Simba wamepeleka timu uturuki ambapo siku 6 zinatumika katika usafiri 3 kwenda 3 kurudi. Hapo ni wiki moja imepotea safarini ambazo ni siku nyingi sana katika mazoezi.

Wachezaji zaidi ya watano waliachwa Tanzania kwa changamoto mbalimbali wakiwemo maingizo mapya. Je kocha anapaswa kukaa na wachezaji wake haswa wapya kwa muda gani? ni wastani wa wiki 4 ( minimum) mpaka 8 ( maximum).

Kumbe kama preseason wangefanyia Tanzania wangekuwa ndani ya huo muda ili kumpa kocha nafasi ya kutosha kuwafanyia wachezaji assessment.

Itoshe kusema kwamba endapo Simba akapoteza ngao ya Jamii huyu kocha atafukuzwa na sio kwa makosa yake bali ni management mbovu waliyonayo.
Ramli chonganishi
 
Hawa walipo au unahangaika na hadithi za zamani za kale?Si mazoezi tu.Pia ni motisha kwa timu.Ninyi mkienda Nalyendele kwani kuna mtu atawadai tiketi za kielektroniki na pasipoti?Apangaye alishachagua.Tulia hivyohivyo ubugizwe matoke.
[emoji23][emoji23] mpira na majigambo havijawahi kwenda sawa mkuu
 
Nadhani huna historia.Yawezekana ulikuwa omwana sana siku hizo Simba akifanya yake wewe bado ukiitwa jina la uji Kaizirege.
[emoji23][emoji23] unajikuta uli mushaija sana wanaman Simba hamkuwahi shiriki nusu fainal Shirikisho tangu kuanzishwa kwenu!
 
Timu ya wekundu wa msimbazi wana jambo la kujifunza, haswa nini cha kufanya kipindi cha preseason nini umuhimu wa preseason na Benchi la ufundi linanufaika vipi.

Simba wamepeleka timu uturuki ambapo siku 6 zinatumika katika usafiri 3 kwenda 3 kurudi. Hapo ni wiki moja imepotea safarini ambazo ni siku nyingi sana katika mazoezi.

Wachezaji zaidi ya watano waliachwa Tanzania kwa changamoto mbalimbali wakiwemo maingizo mapya. Je kocha anapaswa kukaa na wachezaji wake haswa wapya kwa muda gani? ni wastani wa wiki 4 ( minimum) mpaka 8 ( maximum).

Kumbe kama preseason wangefanyia Tanzania wangekuwa ndani ya huo muda ili kumpa kocha nafasi ya kutosha kuwafanyia wachezaji assessment.

Itoshe kusema kwamba endapo Simba akapoteza ngao ya Jamii huyu kocha atafukuzwa na sio kwa makosa yake bali ni management mbovu waliyonayo.
Ni furaha iwapo kolo atafukuza kocha hata wakati huu wa pre season😂😂😂.
 
[emoji23][emoji23] unajikuta uli mushaija sana wanaman Simba hamkuwahi shiriki nusu fainal Shirikisho tangu kuanzishwa kwenu!
Yanga hajawahi kucheza Nusu Fainali Klabu Bingwa tangu kuanzishwa kwake,Simba amecheza mwaka 1974
 
Back
Top Bottom