Simba sc wapoteana Zanzibar ,hali tete imejitokeza kwenye benchi la ufundi ,viongozi watoka jukwaani na kuingilia kati

Simba sc wapoteana Zanzibar ,hali tete imejitokeza kwenye benchi la ufundi ,viongozi watoka jukwaani na kuingilia kati

pamoja yotr ya kichuya ukweli ni kuwa mfumo wa 3-5-2 au 5-3-2 unakwenda kummaliza kichuya maana utamuhitaji acheze kama wingback kitu ambacho ni kigumu sana kwake.
Kuna wapuuzi wanaongea ongea upuuzi tu, wakidhani kupiga soka ni lele mama, kichuya anahaki ya kukasirikaa kabisa

Na kwa namna Inaonekana huyu kocha ana Umorinho ndani yake sio buree!
 
Klabu ya soka ya Simba imeyaaga mashindano ya kombe la Mapinduzi baada ya kufungwa goli 1-0 na URA ya Uganda, mchezo huo ulifanyika uwanja wa Aman

Goli la URA lilifungwa na Bebosi Kalama sekunde chache kabla ya mapumziko. URA wanaungana na Azam hatu ya Nusu Fainali

=====================================================



Klabu ya simba yenye kikosi chenye thamani ya Billion 2 kasoro kidogo inaendeleza wimbi la kufanya vibaya huko Zanzibar.

Ikiwa wametoka kupoteza mchezo dhidi ya Azam siku 2 zilizopita muda huu wapo uwanjani wanachuana na URA ya Uganda na "This is simba" wapo nyuma kwa goli 1 lakini jambo lakushangaza bench la simba limepoteana

Mchezaji kichuya kafanyiwa sabu na mwalimu lakini jambo la kustaajabisha nyota huyo katoka kwa hasira nje huku akiwa amefura na akimpita mwalimu wake mithili ya polisi aliyemuona mwizi na kulikacha benchi la ufundi na kusepa zake

Viongozi waandamizi wa Simba sc roho zipo juu wametoka jukwaani na kwenda kutuliza hali ya sintofahamu mpaka muda huu kimenuka hali sio hali ,kichuya haelewi ,bench Ia ufundi limefura ..vita kubwa inaendelea





4d7352d490edffb4f5ad35ef82ba08a3.jpg


Viongozi wa simba sc waliotoka jukwaani kwenda kutuliza mambo ila kichuya haelewi ,..wakubwa wanaongea yeye kaweka earphone masikioni
Mo ana gundu sana na soka .
 
Simba kuna maeneo kadhaa walikosea wao kwanza kufanya mambo kiushabiki zaidi kushinda reality mfano usajili wapesa nyingi usiona maana kumleta boco ambae tayri anaonekana soka lishaanza mpa mkono wa byebye,usajili wa okwi ambae baada ya kuuzwa huko alikoenda hajafanya maajabu yoyote karudi bongo katupi nne kwa timu iliyo kuwa disorganized leo kastuck na goli zake takrbani mechi sita mfululizo hajafunga,usajili wa gari la mkaa kapombe msimu unakwenda ukingoni haj chez mechi hta moja ya ligi,usajili wakukomoa wa niyonzima ambae fika walijua alikuwamtovu wanidhamu yanga kila alipopata mapumziko alidemand kuongezwa mshahara iliarudi
Haya usajili uliokosa jicho la mwalimu kingine kuwanyang'anya wakongwe wa timu unahodha nakuwapa wageni wasioijua simba mfano man united leo yupo pogba aliekuja kwa hela nyingi lakini timu ipo chini ya valencia,young na carrick
 
mfumo hauchezi...michezaji yenyewe haijitumi na haitambui wajibu wao, magoli mangapi wamekosa siku za azamu? au kufunga magoli nao mfumo? kaka wachezaji wa tanzania hata ungewaletea Pep G , Bado wangechamba, shida hawana misingi mizuri ya soka la utotoni ambapo ndo mchezaji hupikwa,
 
Huyo Kichuya Jinga kweli viongozi wanamubembeleza kama mtoto kisa star.

Viongozi nao malofa tu.
Huyo Kichuya anashangaza sana, inamaana anataka acheze yeye peke yake sikuzote.
Sub ni jambo la kawaida kwa kila mchezaji.
Lakini ameonesha hamu ya kucheza mpira kwenye timu yake.
 
Ndio maana mpira wa bongo nshaacha kufuatilia . Yaani mchezaji anatolewa kwa maamuzi halali ya mwalimu halafu eti anasusa . Cha kushangaza viongozi wanatoka walipoketi wanakuja kumbembeleza hahaha
Tukitaka tuendelee mpira wetu tuufanye "kisayansi" ........quite unprofessional
Hajitambui huyo, Kwanza alitolewa kwa usahihi kabisa, mpira ulimzidi nguvu, wale jamaa wa URA ni wazito sana kiafya.
 
mfumo hauchezi...michezaji yenyewe haijitumi na haitambui wajibu wao, magoli mangapi wamekosa siku za azamu? au kufunga magoli nao mfumo? kaka wachezaji wa tanzania hata ungewaletea Pep G , Bado wangechamba, shida hawana misingi mizuri ya soka la utotoni ambapo ndo mchezaji hupikwa,
Ni kweli kabisa
 
Klabu ya soka ya Simba imeyaaga mashindano ya kombe la Mapinduzi baada ya kufungwa goli 1-0 na URA ya Uganda, mchezo huo ulifanyika uwanja wa Aman

Goli la URA lilifungwa na Bebosi Kalama sekunde chache kabla ya mapumziko. URA wanaungana na Azam hatu ya Nusu Fainali

=====================================================



Klabu ya simba yenye kikosi chenye thamani ya Billion 2 kasoro kidogo inaendeleza wimbi la kufanya vibaya huko Zanzibar.

Ikiwa wametoka kupoteza mchezo dhidi ya Azam siku 2 zilizopita muda huu wapo uwanjani wanachuana na URA ya Uganda na "This is simba" wapo nyuma kwa goli 1 lakini jambo lakushangaza bench la simba limepoteana

Mchezaji kichuya kafanyiwa sabu na mwalimu lakini jambo la kustaajabisha nyota huyo katoka kwa hasira nje huku akiwa amefura na akimpita mwalimu wake mithili ya polisi aliyemuona mwizi na kulikacha benchi la ufundi na kusepa zake

Viongozi waandamizi wa Simba sc roho zipo juu wametoka jukwaani na kwenda kutuliza hali ya sintofahamu mpaka muda huu kimenuka hali sio hali ,kichuya haelewi ,bench Ia ufundi limefura ..vita kubwa inaendelea





4d7352d490edffb4f5ad35ef82ba08a3.jpg


Viongozi wa simba sc waliotoka jukwaani kwenda kutuliza mambo ila kichuya haelewi ,..wakubwa wanaongea yeye kaweka earphone masikioni
yaani mtu kaonyesha nidhamu mbovu kwa mwalimu halafu anaenda kubembelezwa na viongozi....hapo mwalimu ndo aonekane kakosea?, balotel alikuwa na utovu wa nidhamu kiasi hicho leo hii kipaji chake kinafifia
 
yaani mtu kaonyesha nidhamu mbovu kwa mwalimu halafu anaenda kubembelezwa na viongozi....hapo mwalimu ndo aonekane kakosea?, balotel alikuwa na utovu wa nidhamu kiasi hicho leo hii kipaji chake kinafifia
Ndio anataka kwenda kucheza Ulaya huyo ?
Huko hao wenzake akina C 7 na Mesi wanatolewaga pia sasa yeye atacheza timu gani ?
Kumbe bato mtoto namna hii, Mwaka huu Simba tuna mambo mengi ya ku stajabisha na kushangaza. tusubiri mengine
 
Ndio anataka kwenda kucheza Ulaya huyo ?
Huko hao wenzake akina C 7 na Mesi wanatolewaga pia sasa yeye atacheza timu gani ?
Kumbe bato mtoto namna hii, Mwaka huu Simba tuna mambo mengi ya ku stajabisha na kushangaza. tusubiri mengine
na viongozi wamezidi kumpa kichwa ,si uliona kiongozi anambeleza....baadhi ya wanachama na mashabiki pia wanawapa kichwa wachezaji kwa kusema timu ni kubwa kuliko kocha...sasa sijui wachezaji hawa wamekuwa na ukubwa gani...zenedine alipewa timu akiwa kocha mdogo asiye na jina na akakutana na wachezaji wakubwa sana class A, lakini wote wanamheshimu na kumsikiliza....kama CR7 alikubali kuwa rotated ije iwe kichuya? viongozi achezi waache ushamba
 
Huyo Kichuya anashangaza sana, inamaana anataka acheze yeye peke yake sikuzote.
Sub ni jambo la kawaida kwa kila mchezaji.
Lakini ameonesha hamu ya kucheza mpira kwenye timu yake.
Hata kama anahamu mwisho wa siku kocha ndio mwenye maamuzi ya mwisho.
 
Hata kama anahamu mwisho wa siku kocha ndio mwenye maamuzi ya mwisho.
msuva alizoea kucheza no 7 yanga na timu ya taifa, lakini kaenda moroco kocha kaona anafaa na anaweza kucheza no 10, sasahivi anachezeshwa no 10 na anafunga.........sasa huyu kichuya yeye anadonto za kwenda kucheza wapi? ambapo kocha akiamua atakuogpa kukubadilishia majukumu uwanjani
 
Back
Top Bottom