Kuna wapuuzi wanaongea ongea upuuzi tu, wakidhani kupiga soka ni lele mama, kichuya anahaki ya kukasirikaa kabisapamoja yotr ya kichuya ukweli ni kuwa mfumo wa 3-5-2 au 5-3-2 unakwenda kummaliza kichuya maana utamuhitaji acheze kama wingback kitu ambacho ni kigumu sana kwake.
Mo ana gundu sana na soka .Klabu ya soka ya Simba imeyaaga mashindano ya kombe la Mapinduzi baada ya kufungwa goli 1-0 na URA ya Uganda, mchezo huo ulifanyika uwanja wa Aman
Goli la URA lilifungwa na Bebosi Kalama sekunde chache kabla ya mapumziko. URA wanaungana na Azam hatu ya Nusu Fainali
=====================================================
Klabu ya simba yenye kikosi chenye thamani ya Billion 2 kasoro kidogo inaendeleza wimbi la kufanya vibaya huko Zanzibar.
Ikiwa wametoka kupoteza mchezo dhidi ya Azam siku 2 zilizopita muda huu wapo uwanjani wanachuana na URA ya Uganda na "This is simba" wapo nyuma kwa goli 1 lakini jambo lakushangaza bench la simba limepoteana
Mchezaji kichuya kafanyiwa sabu na mwalimu lakini jambo la kustaajabisha nyota huyo katoka kwa hasira nje huku akiwa amefura na akimpita mwalimu wake mithili ya polisi aliyemuona mwizi na kulikacha benchi la ufundi na kusepa zake
Viongozi waandamizi wa Simba sc roho zipo juu wametoka jukwaani na kwenda kutuliza hali ya sintofahamu mpaka muda huu kimenuka hali sio hali ,kichuya haelewi ,bench Ia ufundi limefura ..vita kubwa inaendelea
Viongozi wa simba sc waliotoka jukwaani kwenda kutuliza mambo ila kichuya haelewi ,..wakubwa wanaongea yeye kaweka earphone masikioni
Huyo Kichuya anashangaza sana, inamaana anataka acheze yeye peke yake sikuzote.Huyo Kichuya Jinga kweli viongozi wanamubembeleza kama mtoto kisa star.
Viongozi nao malofa tu.
Hajitambui huyo, Kwanza alitolewa kwa usahihi kabisa, mpira ulimzidi nguvu, wale jamaa wa URA ni wazito sana kiafya.Ndio maana mpira wa bongo nshaacha kufuatilia . Yaani mchezaji anatolewa kwa maamuzi halali ya mwalimu halafu eti anasusa . Cha kushangaza viongozi wanatoka walipoketi wanakuja kumbembeleza hahaha
Tukitaka tuendelee mpira wetu tuufanye "kisayansi" ........quite unprofessional
Ni kweli kabisamfumo hauchezi...michezaji yenyewe haijitumi na haitambui wajibu wao, magoli mangapi wamekosa siku za azamu? au kufunga magoli nao mfumo? kaka wachezaji wa tanzania hata ungewaletea Pep G , Bado wangechamba, shida hawana misingi mizuri ya soka la utotoni ambapo ndo mchezaji hupikwa,
yaani mtu kaonyesha nidhamu mbovu kwa mwalimu halafu anaenda kubembelezwa na viongozi....hapo mwalimu ndo aonekane kakosea?, balotel alikuwa na utovu wa nidhamu kiasi hicho leo hii kipaji chake kinafifiaKlabu ya soka ya Simba imeyaaga mashindano ya kombe la Mapinduzi baada ya kufungwa goli 1-0 na URA ya Uganda, mchezo huo ulifanyika uwanja wa Aman
Goli la URA lilifungwa na Bebosi Kalama sekunde chache kabla ya mapumziko. URA wanaungana na Azam hatu ya Nusu Fainali
=====================================================
Klabu ya simba yenye kikosi chenye thamani ya Billion 2 kasoro kidogo inaendeleza wimbi la kufanya vibaya huko Zanzibar.
Ikiwa wametoka kupoteza mchezo dhidi ya Azam siku 2 zilizopita muda huu wapo uwanjani wanachuana na URA ya Uganda na "This is simba" wapo nyuma kwa goli 1 lakini jambo lakushangaza bench la simba limepoteana
Mchezaji kichuya kafanyiwa sabu na mwalimu lakini jambo la kustaajabisha nyota huyo katoka kwa hasira nje huku akiwa amefura na akimpita mwalimu wake mithili ya polisi aliyemuona mwizi na kulikacha benchi la ufundi na kusepa zake
Viongozi waandamizi wa Simba sc roho zipo juu wametoka jukwaani na kwenda kutuliza hali ya sintofahamu mpaka muda huu kimenuka hali sio hali ,kichuya haelewi ,bench Ia ufundi limefura ..vita kubwa inaendelea
Viongozi wa simba sc waliotoka jukwaani kwenda kutuliza mambo ila kichuya haelewi ,..wakubwa wanaongea yeye kaweka earphone masikioni
Ndio anataka kwenda kucheza Ulaya huyo ?yaani mtu kaonyesha nidhamu mbovu kwa mwalimu halafu anaenda kubembelezwa na viongozi....hapo mwalimu ndo aonekane kakosea?, balotel alikuwa na utovu wa nidhamu kiasi hicho leo hii kipaji chake kinafifia
na viongozi wamezidi kumpa kichwa ,si uliona kiongozi anambeleza....baadhi ya wanachama na mashabiki pia wanawapa kichwa wachezaji kwa kusema timu ni kubwa kuliko kocha...sasa sijui wachezaji hawa wamekuwa na ukubwa gani...zenedine alipewa timu akiwa kocha mdogo asiye na jina na akakutana na wachezaji wakubwa sana class A, lakini wote wanamheshimu na kumsikiliza....kama CR7 alikubali kuwa rotated ije iwe kichuya? viongozi achezi waache ushambaNdio anataka kwenda kucheza Ulaya huyo ?
Huko hao wenzake akina C 7 na Mesi wanatolewaga pia sasa yeye atacheza timu gani ?
Kumbe bato mtoto namna hii, Mwaka huu Simba tuna mambo mengi ya ku stajabisha na kushangaza. tusubiri mengine
Hata kama anahamu mwisho wa siku kocha ndio mwenye maamuzi ya mwisho.Huyo Kichuya anashangaza sana, inamaana anataka acheze yeye peke yake sikuzote.
Sub ni jambo la kawaida kwa kila mchezaji.
Lakini ameonesha hamu ya kucheza mpira kwenye timu yake.
msuva alizoea kucheza no 7 yanga na timu ya taifa, lakini kaenda moroco kocha kaona anafaa na anaweza kucheza no 10, sasahivi anachezeshwa no 10 na anafunga.........sasa huyu kichuya yeye anadonto za kwenda kucheza wapi? ambapo kocha akiamua atakuogpa kukubadilishia majukumu uwanjaniHata kama anahamu mwisho wa siku kocha ndio mwenye maamuzi ya mwisho.
Duh huu mzigo mkubwa sana