Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Mikia malipo ni hapa hapa Duniani,Okwi ilipaswa apate umeme wa 2000Megawatt.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbumbu fc nendeni mkaelekezwe kibra, keleleeee na ujanja ujanja mwingiiii wakati mpira hamjuiii
subirini mtatuliwe rinda fala wee!!B.o.l.o limekuingia mpka kila kitu unaona negatively. SIMBA BHANA
Sent using Jamii Forums mobile app
Berkane kamfunga Gor Mahia 2 ugenini,Esperance kamfunga Cs Constantine ktk kiwanja chake bao 3 dhidi ya 2 za wenyeji,kuwapo kwa asilimia nyingi hakumaanishi asilimia ndogo haina nafasi kabisa.Never say Diesimba tujipange msimu ujao soccer la Africa ndivo lilivo Hii michuano n kutumia nafas Nyumban michezo Huwa inachezwa nje na ndan ya uwanja
hao wote uliowataja s Kama mazembe emb chukua record ya mazembe n mzoefu wa Haya mashindano toka zamanBerkane kamfunga Gor Mahia 2 ugenini,Esperance kamfunga Cs Constantine ktk kiwanja chake bao 3 dhidi ya 2 za wenyeji,kuwapo kwa asilimia nyingi hakumaanishi asilimia ndogo haina nafasi kabisa.Never say Die
Sent using Jamii Forums mobile app
Berkane kamfunga Gor Mahia 2 ugenini,Esperance kamfunga Cs Constantine ktk kiwanja chake bao 3 dhidi ya 2 za wenyeji,kuwapo kwa asilimia nyingi hakumaanishi asilimia ndogo haina nafasi kabisa.Never say Die
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama tulivyomnyunyuzia yanga tukamkojolea kimoja cha matakonimwende na rungu spray muwanyunyizie kama kawaida yenu
Mikia fc ndo hawa juzijuzi waliomkojolea yanga kimoja cha makalioni????Mikia FC aka mbumbumbu FC
Simba ilimtoa Zamalek wakati huo rekodi yake nyumbani ilikua zaidi ya Mazembe Jumamosi ndio utamjua Mnyamahao wote uliowataja s Kama mazembe emb chukua record ya mazembe n mzoefu wa Haya mashindano toka zaman
umesahau hadi azam mechi yako hakuingia vyumbani hahhaahahah mzee wa rungu sprayKama tulivyomnyunyuzia yanga tukamkojolea kimoja cha matakoni
Hakuingia lakini c alikojolewa nae???rungu spray ni nzuri mkuu...hata lipuli walimnyunyuzia mtu iringa kule majuzi tu hapa wakamkojolea kimoja dadekiiumesahau hadi azam mechi yako hakuingia vyumbani hahhaahahah mzee wa rungu spray
Je hata akija corina tuna nafasi ya kushinda?'Tumetuma malalamiko dhidi ya @CAF_Online kwa kufanya mabadiliko ya waamuzi wa mchezo wa marudiano wa #CAFCL tutakaocheza Jumamosi./We have formally lodged a complaint against CAF for the abrupt change in referees ahead of match against Mazembe in this Saturday in DRC" kauli ya Simba kupitia ukurasa wao wa Twitter.
Kabla ya Kauli hiyo Mbunge Zitto Kabwe aliandika pia Twitter akiwashauri Simba kufuatilia jambi hilo alilohisi lina harufu ya hujuma
"Waamuzi wa Mechi ya Simba na TP Mazembe wamebadilishwa. Wameondolewa waamuzi kutoka Ethiopia na Kenya na kuwekwa waamuzi kutoka Zambia. Nataraji Viongozi wa Simba wanafuatilia hili maana inaweza kuwa ni hujuma haswa Kwa kuwa Makamu wa Rais CAF anatoka Lubumbashi"~Ziitto KabweView attachment 1065805View attachment 1065806
Sent using Jamii Forums mobile app
mwende na rungu spray lubumbashi mkutane na vumbi la kongo 8 zinawasubiriHakuingia lakini c alikojolewa nae???rungu spray ni nzuri mkuu...hata lipuli walimnyunyuzia mtu iringa kule majuzi tu hapa wakamkojolea kimoja dadekii
Hayo hayawahusu yanga...yanga yanayowahusu ni ya hapahapa ligi ku tunawanyunyuzia spray alafu tunawala tigo hahaaaaahmwende na rungu spray lubumbashi mkutane na vumbi la kongo 8 zinawasubiri