Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale waliochezea kichapo cha mashujaa na kupigwa 5 Kinshasa na kule Igipti!Mikia fc ndo hawa juzijuzi waliomkojolea yanga kimoja cha makalioni????
Pamoja na kufungwa tano bado wamemkojolea yanga makalioni??hahaaaahWale waliochezea kichapo cha mashujaa na kupigwa 5 Kinshasa na kule Igipti!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jumamosi sijui mtakojozwa ngapi? Mmeshaanza kugwaya! Hakuna namna 'send off' tayari mjiandae kuolewa tu kule Lubumbashi......Pamoja na kufungwa tano bado wamemkojolea yanga makalioni??hahaaaah
Hayawahusu..sisi tufunge or tufungwe nyi hamfaidiki kitu..yanayowahusu nyinyi ni kukutana na sisi...tukawakojolea kimoja cha makalioni..yaani sahivi hakuna tena marinda tulishatatua ndo mana wakina lipuli wakapita tu kiulaini..hahaaaaahJumamosi sijui mtakojozwa ngapi? Mmeshaanza kugwaya! Hakuna namna 'send off' tayari mjiandae kuolewa tu kule Lubumbashi......
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayawahusu..sisi tufunge or tufungwe nyi hamfaidiki kitu..yanayowahusu nyinyi ni kukutana na sisi...tukawakojolea kimoja cha makalioni..yaani sahivi hakuna tena marinda tulishatatua ndo mana wakina lipuli wakapita tu kiulaini..hahaaaaah
Hahaaah tulia mkuu dawa ikuingie vizuri...maswala ya kina vita,alhaly js saoura wewe hayakuhusu..usiongee mambo ya hatua ya michuano ambayo tangu uzaliwe hujawai iona timu yako ya ombaomba fc inacheza...tunachozungumzia hapa ni kuhusu kukutana sisi na nyie..tuliwakojolea kimoja cha mkwezi cha makalioni hahaaaaahKama ni Marinda we we ndiyo kabisa lipo binge LA Tundu: anza na Mbao fc,
kakubikiri, haya, Mashujaa fc kakolezea Tundu, ndiyo maana Kina VITA fc na Aly Hal ly ilikuwa rahisi sana kuingiza Mitwango mitano kila mmoja, akamalizia Soura Miwili ya nguvu. Nadhani utashika adabu mwaka huu, maana mingine Minane inakusubiri Lubumbashi, hadi msimu huu unamalizika utakuwa na Tundu linaloweza pitisha pipe la inch 6"
hatari sana.
Dawa imekuingia Barabara, kwani Mbao na Mashujaa walioanza kutoboa Tundu lako kabla ya kupanunulia na hao kina VITa na wenzake ni za wapi au zinashiriki mashindano tapi, Tulia kikuingie vizuri mkuu wacha kupanic. Narudia hadi msimu unamalizika, Tundu lako kina uwezo wa kuingiza pipe LA 8"Hahaaah tulia mkuu dawa ikuingie vizuri...maswala ya kina vita,alhaly js saoura wewe hayakuhusu..usiongee mambo ya hatua ya michuano ambayo tangu uzaliwe hujawai iona timu yako ya ombaomba fc inacheza...tunachozungumzia hapa ni kuhusu kukutana sisi na nyie..tuliwakojolea kimoja cha mkwezi cha makalioni hahaaaaah
mwende na rungu spray muwanyunyizie kama kawaida yenu
..hahaaah kimoja cha mkwezi...cha makalioniDaw
Dawa imekuingia Barabara, kwani Mbao na Mashujaa walioanza kutoboa Tundu lako kabla ya kupanunulia na hao kina VITa na wenzake ni za wapi au zinashiriki mashindano tapi, Tulia kikuingie vizuri mkuu wacha kupanic. Narudia hadi msimu unamalizika, Tundu lako kina uwezo wa kuingiza pipe LA 8"
Yaani n haibu kubwa sana mkuu,mtu anapost kabisa et refa refa,n haibu kubwa sana,CAF wana maana yao na wana mkono mrefu.dunia y ssa unallamikia mbadiliko y marefa kwel.. safri bd ni ndef kw mpira wetu huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamepata pakutokea maana Congo wanajua hawachomoki'Tumetuma malalamiko dhidi ya @CAF_Online kwa kufanya mabadiliko ya waamuzi wa mchezo wa marudiano wa #CAFCL tutakaocheza Jumamosi./We have formally lodged a complaint against CAF for the abrupt change in referees ahead of match against Mazembe in this Saturday in DRC" kauli ya Simba kupitia ukurasa wao wa Twitter.
Kabla ya Kauli hiyo Mbunge Zitto Kabwe aliandika pia Twitter akiwashauri Simba kufuatilia jambi hilo alilohisi lina harufu ya hujuma
"Waamuzi wa Mechi ya Simba na TP Mazembe wamebadilishwa. Wameondolewa waamuzi kutoka Ethiopia na Kenya na kuwekwa waamuzi kutoka Zambia. Nataraji Viongozi wa Simba wanafuatilia hili maana inaweza kuwa ni hujuma haswa Kwa kuwa Makamu wa Rais CAF anatoka Lubumbashi"~Ziitto KabweView attachment 1065805View attachment 1065806
Sent using Jamii Forums mobile app
simba unamuweka level moja na esperence bingwa mtetezi.. alietwaa champions league mara 5..
msimu huu esperence toka hatua ya makundi anashinda away... pia anabebwa sana na mareferee kama simba juzi mlivyohonga usd 30,000 mkabebwa.. yeye mpira anaujua na anabebwa.. sio kama nyinyi hambebeki