Simba SC watuma malalamiko wakilalamikia kubadilishwa kwa waamuzi mechi kati yao na TP Mazembe

Simba SC watuma malalamiko wakilalamikia kubadilishwa kwa waamuzi mechi kati yao na TP Mazembe

Jumamosi sijui mtakojozwa ngapi? Mmeshaanza kugwaya! Hakuna namna 'send off' tayari mjiandae kuolewa tu kule Lubumbashi......

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayawahusu..sisi tufunge or tufungwe nyi hamfaidiki kitu..yanayowahusu nyinyi ni kukutana na sisi...tukawakojolea kimoja cha makalioni..yaani sahivi hakuna tena marinda tulishatatua ndo mana wakina lipuli wakapita tu kiulaini..hahaaaaah
 
Kama ni Marinda we we ndiyo kabisa lipo binge LA Tundu: anza na Mbao fc,
kakubikiri, haya, Mashujaa fc kakolezea Tundu, ndiyo maana Kina VITA fc na Aly Hal ly ilikuwa rahisi sana kuingiza Mitwango mitano kila mmoja, akamalizia Soura Miwili ya nguvu. Nadhani utashika adabu mwaka huu, maana mingine Minane inakusubiri Lubumbashi, hadi msimu huu unamalizika utakuwa na Tundu linaloweza pitisha pipe la inch 6"
hatari sana.
Hayawahusu..sisi tufunge or tufungwe nyi hamfaidiki kitu..yanayowahusu nyinyi ni kukutana na sisi...tukawakojolea kimoja cha makalioni..yaani sahivi hakuna tena marinda tulishatatua ndo mana wakina lipuli wakapita tu kiulaini..hahaaaaah
 
Kama ni Marinda we we ndiyo kabisa lipo binge LA Tundu: anza na Mbao fc,
kakubikiri, haya, Mashujaa fc kakolezea Tundu, ndiyo maana Kina VITA fc na Aly Hal ly ilikuwa rahisi sana kuingiza Mitwango mitano kila mmoja, akamalizia Soura Miwili ya nguvu. Nadhani utashika adabu mwaka huu, maana mingine Minane inakusubiri Lubumbashi, hadi msimu huu unamalizika utakuwa na Tundu linaloweza pitisha pipe la inch 6"
hatari sana.
Hahaaah tulia mkuu dawa ikuingie vizuri...maswala ya kina vita,alhaly js saoura wewe hayakuhusu..usiongee mambo ya hatua ya michuano ambayo tangu uzaliwe hujawai iona timu yako ya ombaomba fc inacheza...tunachozungumzia hapa ni kuhusu kukutana sisi na nyie..tuliwakojolea kimoja cha mkwezi cha makalioni hahaaaaah
 
Daw
Hahaaah tulia mkuu dawa ikuingie vizuri...maswala ya kina vita,alhaly js saoura wewe hayakuhusu..usiongee mambo ya hatua ya michuano ambayo tangu uzaliwe hujawai iona timu yako ya ombaomba fc inacheza...tunachozungumzia hapa ni kuhusu kukutana sisi na nyie..tuliwakojolea kimoja cha mkwezi cha makalioni hahaaaaah
Dawa imekuingia Barabara, kwani Mbao na Mashujaa walioanza kutoboa Tundu lako kabla ya kupanunulia na hao kina VITa na wenzake ni za wapi au zinashiriki mashindano tapi, Tulia kikuingie vizuri mkuu wacha kupanic. Narudia hadi msimu unamalizika, Tundu lako kina uwezo wa kuingiza pipe LA 8"
 
Watu wanakataa mahakimu na majaji seuse refa.??.na hao CAF kwanini hawakutoa sababu za kubadilisha muamuzi na kwanini wambadllishe baada ya kuona soka safi la simba??CAF waache kuja na timu zao simba ni timu kubwa Kwa sasa duniani!!
 
Daw
Dawa imekuingia Barabara, kwani Mbao na Mashujaa walioanza kutoboa Tundu lako kabla ya kupanunulia na hao kina VITa na wenzake ni za wapi au zinashiriki mashindano tapi, Tulia kikuingie vizuri mkuu wacha kupanic. Narudia hadi msimu unamalizika, Tundu lako kina uwezo wa kuingiza pipe LA 8"
..hahaaah kimoja cha mkwezi...cha makalioni
 
Imebainika Tp mazembw wana hako kamchezo maana hata ktk mechi waliocheza na chura churan pale lugumbashi mwaamuzi alibadilishwa kuelekea mchezoni LKN pia yule refa walio mtoa wa Ethiopia ana rekodi ya kukataa kupokea hongo. Ss hapo CAF isije ikawa kama CAF ile ya leprofessori
 
'Tumetuma malalamiko dhidi ya @CAF_Online kwa kufanya mabadiliko ya waamuzi wa mchezo wa marudiano wa #CAFCL tutakaocheza Jumamosi./We have formally lodged a complaint against CAF for the abrupt change in referees ahead of match against Mazembe in this Saturday in DRC" kauli ya Simba kupitia ukurasa wao wa Twitter.

Kabla ya Kauli hiyo Mbunge Zitto Kabwe aliandika pia Twitter akiwashauri Simba kufuatilia jambi hilo alilohisi lina harufu ya hujuma

"Waamuzi wa Mechi ya Simba na TP Mazembe wamebadilishwa. Wameondolewa waamuzi kutoka Ethiopia na Kenya na kuwekwa waamuzi kutoka Zambia. Nataraji Viongozi wa Simba wanafuatilia hili maana inaweza kuwa ni hujuma haswa Kwa kuwa Makamu wa Rais CAF anatoka Lubumbashi"~Ziitto KabweView attachment 1065805View attachment 1065806

Sent using Jamii Forums mobile app
Wamepata pakutokea maana Congo wanajua hawachomoki
 
simba unamuweka level moja na esperence bingwa mtetezi.. alietwaa champions league mara 5..

msimu huu esperence toka hatua ya makundi anashinda away... pia anabebwa sana na mareferee kama simba juzi mlivyohonga usd 30,000 mkabebwa.. yeye mpira anaujua na anabebwa.. sio kama nyinyi hambebeki

Kuna sehemu nimesema Simba na Esperance wako level moja???Kichuya akifunga goli kama alilowahi kufunga Messi tusiseme kama kafunga goli kama Messi kwa vile hawapo level moja??

Hayo maneno mengine ya vijiwe vya kahawa sihitaji kuyazungumzia
 
Back
Top Bottom