Truth Teller
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 1,623
- 2,892
Mkuu,hukwenda uwanjani ile mechi,simba unamuweka level moja na esperence bingwa mtetezi.. alietwaa champions league mara 5..
msimu huu esperence toka hatua ya makundi anashinda away... pia anabebwa sana na mareferee kama simba juzi mlivyohonga usd 30,000 mkabebwa.. yeye mpira anaujua na anabebwa.. sio kama nyinyi hambebeki
Ni wapi Simba alihonga?
watu wenye macho,yao walikuwa wanashuhuduia,jinsi Hali ilivyokuwa
Sent using Jamii Forums mobile app