Simba SC watuma malalamiko wakilalamikia kubadilishwa kwa waamuzi mechi kati yao na TP Mazembe

Mkuu,hukwenda uwanjani ile mechi,
Ni wapi Simba alihonga?

watu wenye macho,yao walikuwa wanashuhuduia,jinsi Hali ilivyokuwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hao wote uliowataja s Kama mazembe emb chukua record ya mazembe n mzoefu wa Haya mashindano toka zaman

Nimesema kuwapo kwa asilimia nyingi hakumaanishi asilimia ndogo haina nafasi kabisa!!Unashindwaje kuelewa kitu rahisi kama hiko?Anyway,mwaka Jana Mazembe katolewa ktk mwelekeo huu huu na timu toka Angola
 
Nimesema kuwapo kwa asilimia nyingi hakumaanishi asilimia ndogo haina nafasi kabisa!!Unashindwaje kuelewa kitu rahisi kama hiko?Anyway,mwaka Jana Mazembe katolewa ktk mwelekeo huu huu na timu toka Angola
Pole Sana nimegundua kuwa wew unaamin ktk bahat uhakika WA sis kusonga mbele ilitakiwa mazembe afe Apa dar es salaam we endelea na bahat Nasibu zako
 
Soka la bongo hapo ndipo mnaponichoshaga!
Sijawahi kusikia popote club inalialia kuhofia waamuzi. Nendeni mkapige soka. Mpate matokeo, tuwasifu mkizingua tuwalaumu. Mpira unachezwa hadharani. Tutaona!

Kila la kheri Simba sc! To dare is to do
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…