Pamoja na kuzeeka kuna wachezaji pale wameshajihakikishia namba ,wanajiona mafaza ,ningekuwa kocha ningeandaa kikosi na wachezaji wapya na wale ambao hawapati namba halafu hao mafaza wanatokea sub hadi akili iwakaeKocha analipwa mshahara was dollar 15000 wakati Hana vyeti
Halafu pesa ya kumlipa inatoka kwenye mashindano ambayo Kwanza Hana vyeti vya kuyashiriki pili katolewa kipumbavu.
Mo hapa yupo sahihi 100%
Ila tatizo la Simba Ni kubwa wachezaji wamezeeka Sana Sana timu inahitaji kufumuliwa.
Ukisema mwanachama tu bado haitoshi, bali yeye Bakhresa ana hadhi ya kutofutwa uanachama wake maisha yake yote.Asante kuna mtu humu anajua kila kitu lakini hajui kwamba Bakhressa ni Mwanachama na Shabiki kindakindaki wa Simba
Mtagongwa tuHuyu walompa ukocho mkuu binafsi nina mashaka nae ingawa anaweza kuwa na vyeti vya elimu ya kutosha juu ya taaluma yake. Lkn kuwa na cheti na nin unachokifanya kulingana na taaluma yako ni vitu viwili tofauti.
Simuoni kama ni kocha anaweza kuivusha simba na sioni kama ana mbinu zaid za kuisaisia timuz lkn pia sioni kama ni aina ya makocha ambao ana hamasa kwa wachezaji ili kuwahimiza zaidi hasa timu inapokuwa inacheza na ikawa inahitaji matokeo kwa udi na uvumba.
Na hili tuliliona sote wakati wa mechi na wa-Botswana, jamaa alikuwa kasimana tu ni kimya hakuna chochote anachowahimiza wachezaj kufanya hii ilikuwa tofauti na alivyokuwa akifanya kocha wa Wa-Botswana.
Kwa huyu kocha binafsi bado naona pengo.
[emoji106][emoji106][emoji106]Ukisema mwanachama tu bado haitoshi, bali yeye Bakhresa ana hadhi ya kutofutwa uanachama wake maisha yake yote.
Baada ya kuona wapuuzi wengi Simba ndio sababu akaamuwa kuanzisha timu yake ya Azzam.
Kipi Bora kuwa tajir mshamba au maskini mjanja?Tajiri mshamba
Yah ndo hivoKama ni mechi ya mwisho kuwepo ni dhidi ya Dodoma jiji maanake kwa sheria za ndani (TFF) ndio waliona hawana sifa
We nae tulia uyo bakhressa kawekeza kwenye club ya Azam iyo azam Ina maajabu gani ? Angewekeza simba si ndio angeifanya kibogoyoUsinge sema Bakhressa Hana Kadi au sio mwanachama wa Simba!!..Usinge sema Mo hajaweka 20B kwasababu vyombo vya serikali vyote vinaonyesha ndio Mwekezaji wa Simba!!..Na ungejua sheria zetu za ligi kuu hata za Baraza la Michezo!!.. Lakini wewe unajua kila kitu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
@tony92 kasema hawana vigezo.Kocha wa viungo Ana leseni ya juu inayotambulika na uefa pia Ana PhD ya maswala ya lishe na viungo.
Wahindi huwa hawapendi kuajiliwl watu wenye vyeti vikubwa
Tulia kidogo alafu urudie kusoma pumba zako!Biashara za wahindi ni uchizi uliokithiri, Kanjibai kauza bunduki kanunua rungu afu anataka matokeo yale yale. Kama kuna watu walipaswa kuanza kuwajibika hapo Simba, alipaswa anze Mwamedi, na kademu kake kafuate.
Lete hoja zako cha kutema mate hovyo hovyo.Tulia kidogo alafu urudie kusoma pumba zako!
Mashabiki nao wawajibishwe haiwezekan morison anaupanda mpira wanamuangalia tu, kwa nn wasimpige na ndizi!?Wachezaji nao wachukuliwe hatua kali, haiwezekani Wawa na Manula wanaangalia tu kama wachumba
kwani huyo Tony ni nani?@tony92 kasema hawana vigezo.
Ni member wa JFkwani huyo Tony ni nani?
Nakuunga mkono 100%Biashara za wahindi ni uchizi uliokithiri, Kanjibai kauza bunduki kanunua rungu afu anataka matokeo yale yale. Kama kuna watu walipaswa kuanza kuwajibika hapo Simba, alipaswa anze Mwamedi, na kademu kake kafuate.
Hata mimi nashangaaHao ndio waliofanya hujuma!
Bora masikini majanjaKipi Bora kuwa tajir mshamba au maskini mjanja?