Simba Sc yaendelea kuingiza timu 4 mashindano ya CAF

Simba Sc yaendelea kuingiza timu 4 mashindano ya CAF

YANGA anao uhakika wa angalau alama moja, hawezi kutokea wa mwisho kwenye kundi lake.
Mechi ya BAMAKO vs MAZEMBE itazuia kupitwa na timu zote mbili.
So far wamepiga hatua sana, na hii pongezi inaenda moja kwa moja kwa uongozi mpya chini ya Engineer Hersi

Pointi moja ni alama kubwa sana wala sio ya kui underrate
 
Mbumbumbu fc ayo ndio makombe Yao.Muwe wavumilivu mtakaa katika Hali kama iyo ya kujifariji Kwa vitu vya kipuuzi Kwa muda mrefu sana.
Msimu huu kama mmekosa kombe la Mapinduzi basi msahau maswala ya Makombe.
Yanga limechongwa kabati jipya la makombe linatakiwa lijae ndani ya misimu mitano.
Kubeza points za CAF kwa hoja ya kombe, hizo ni kauli za aliyeshindwa.

Afu sio kila time kombe linakuwa lina thamani

Kombe la ligi kuu ni 500M na hii imeongezeka juzi tu, way back ilikuwa 100M wakati hatua ya makundi aliyopo Simba saizi anavita jax ya 1.2B

Sasa hapo uliambiwa uchague kuwa bingwa wa kombe la NBC na kuwa kwenye group stage unafikiri utachagua kombe?
 
CAF hawataki kabisa kuiachia Simba SC kuitaja yaani, mara nafasi ya 10 kwa ubora, mara wachezaji watu wanaunda kikosi cha wiki, hatujakaa vizuri mara Chama mchezaji bora wa wiki wa CAF.
CAF kama TFF tu nao wanaipendelea tu Simba
 
Mbumbumbu fc ayo ndio makombe Yao.Muwe wavumilivu mtakaa katika Hali kama iyo ya kujifariji Kwa vitu vya kipuuzi Kwa muda mrefu sana.
Msimu huu kama mmekosa kombe la Mapinduzi basi msahau maswala ya Makombe.
Yanga limechongwa kabati jipya la makombe linatakiwa lijae ndani ya misimu mitano.
Sasa hapo mpuuzi ni nani? Anayefurahia na kufarijika na kuingiza timu nne au anayedharau na kubeza Simba kuingiza timu nne?
Huna upeo; unatia aibu; pole sana. Ila kwa upande huo sishangai. Maana Haji alishabainisha ukweli.
 
Unashida mkuu? Mwenye uzi amesema Tanzania wewe unasema Yanga kwani Yanga ni Taifa mkuu,
Unafahamu ni kwa nini alinitaja? Mimi nimeeleza kwa mtazamo wa timu yangu. Na siyo Tanzania.
 
Yanga anashiriki Klabu Bingwa kupitia nafasi yake halali baada ya kuchukua ubingwa wa Ligi kuu, au Kombe la ASFC!

Hayo masuala kuingiza timu 4, yanazisaidia timu za Azam, Geita Gold, Namungo, Singida Big Stars, nk. Kwa upande wa Yanga, hayana mashiko.
Waache waendelee kujipa faraja sisi tuna tafta makombe wao wana tafta sifa
 
Kubeza points za CAF kwa hoja ya kombe, hizo ni kauli za aliyeshindwa.

Afu sio kila time kombe linakuwa lina thamani

Kombe la ligi kuu ni 500M na hii imeongezeka juzi tu, way back ilikuwa 100M wakati hatua ya makundi aliyopo Simba saizi anavita jax ya 1.2B

Sasa hapo uliambiwa uchague kuwa bingwa wa kombe la NBC na kuwa kwenye group stage unafikiri utachagua kombe?
Sikiliza wewe mbumbumbu thamani ya timu ni trophies hizo ngonjera unaongea ziliwachosha Arsenal eti timu inapata faida wakati mashabiki wanataka makombe
 
Sikiliza wewe mbumbumbu thamani ya timu ni trophies hizo ngonjera unaongea ziliwachosha Arsenal eti timu inapata faida wakati mashabiki wanataka makombe
Trophies za 500M na 1.2B ya makundi ipi ni biggest achievement?
 
Mtakatifu Chama👇😁😁😁
 
CAF hawataki kabisa kuiachia Simba SC kuitaja yaani, mara nafasi ya 10 kwa ubora, mara wachezaji watatu wanaunda kikosi cha wiki, hatujakaa vizuri mara Chama mchezaji bora wa wiki wa CAF.
NO mara waaaaa lazima itajwe
 
Yanga ana trophies gani ambazo simba hana?
Nafikiri Mkuu una kitanda chako Mirembe ila sijui kwanini hawajaja kukubeba! Hivi We jamaa una shida gani?

Hivi kweli hujui kuwa Yanga ana makombe ya ligi na la Azam na Simba Wana makombe ya Ndondo cup baada ya kuwafunga Abajalo, Faru Dume na Mpalanger fc!!

Nakukumbusha tu kuwa huu ni mwaka wa pili Simba haijabeba NBC Premier league

Kweli we mbumbumbu!

Why do you waste our time to read your illogical questions?

Hivi kwanini we jamaa umetudharau? Yaani umetugeuza sisi sote ni watoto wako? Kweli hili swali lako ni la mbumbumbu alievimbiwa pilau maharage na soda ya baridi!

Hivi kweli hujui kuwa hakuna mchezaji wa Simba mwenye kiwango cha kuweza kucheza Yanga?

Hivi we jamaa hujui kuwa Diarra ndio kipa Mwenye footwork Bora duniani kwasasa?

Hivi we jamaa hujui kuwa Prof Nabi ndie kocha bora duniani kwasasa kwa kufanya super sub za maangamizi?

Hivi we jamaa hujui kuwa Simba Ina wachezaji wazee na Haina uwezo wa kubeba kombe la bara kwa miaka 5 ya Prof Nabi jangwani?
 
Yanga anashiriki Klabu Bingwa kupitia nafasi yake halali baada ya kuchukua ubingwa wa Ligi kuu, au Kombe la ASFC!

Hayo masuala kuingiza timu 4, yanazisaidia timu za Azam, Geita Gold, Namungo, Singida Big Stars, nk. Kwa upande wa Yanga, hayana mashiko.
Hujajibu swali nanukuu "kubwa jinga miaka yote hiyo kina point 1tu" hii ndiyo hoja ya msingi
 
Back
Top Bottom