Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Kwani mantiki ya hizo timu nne ina mashiko gani Kwa timu kama Yanga ambayo Kila mwaka inapata nafasi ya kushiriki mashindano ya Kimataifa, baada kuchukua Ubingwa wa Ligi kuu au ule wa Shirikisho?Hujajibu swali nanukuu "kubwa jinga miaka yote hiyo kina point 1tu" hii ndiyo hoja ya msingi
Hii ndiyo hoja yangu. Yanga itashiriki tu hata timu zikibakia kuwa mbili! Sasa shida iko wapi? Kwani lazima izibebe timu nyingine?