Kwani mantiki ya hizo timu nne ina mashiko gani Kwa timu kama Yanga ambayo Kila mwaka inapata nafasi ya kushiriki mashindano ya Kimataifa, baada kuchukua Ubingwa wa Ligi kuu au ule wa Shirikisho?Hujajibu swali nanukuu "kubwa jinga miaka yote hiyo kina point 1tu" hii ndiyo hoja ya msingi
Hata ibaki nafasi moja tutaenda sisiKwani mantiki ya hizo timu nne ina mashiko gani Kwa timu kama Yanga ambayo Kila mwaka inapata nafasi ya kushiriki mashindano ya Kimataifa, baada kuchukua Ubingwa wa Ligi kuu au ule wa Shirikisho?
Hii ndiyo hoja yangu. Yanga itashiriki tu hata timu zikibakia kuwa mbili! Sasa shida iko wapi? Kwani lazina izibebe timu nyingine?
Yaani CAF ina mahaba na Mnyama ?CAF hawataki kabisa kuiachia Simba SC kuitaja yaani, mara nafasi ya 10 kwa ubora, mara wachezaji watatu wanaunda kikosi cha wiki, hatujakaa vizuri mara Chama mchezaji bora wa wiki wa CAF.
Mkuu njoo tupe msimamo wa point za Yanga vs Simba kwenye CAF, uzi una mwaka mmoja tu lakini yaliyojiri yanafurahisha. Embu tambeni sasa na rank basiSIMBA imeshaipa neema Tanzania 🇹🇿 baada ya kuingiza timu nne kwenye mashindano ya klabu Afrika msimu huu na msimu ujao kwa mara ya tatu mfululizo.
Kitendo cha Simba kuwepo katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika hadi sasa kimeihakikishia Tanzania pointi moja.
Aidha Yanga kuwepo kwenye hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kimeihakikishia Tanzania pointi 0.5.
Timu hizo mbili zimefanya Tanzania iwe na pointi 29 na kushika nafasi ya tisa katika viwango vya mafanikio ya nchi kutokana na ushiriki kwenye mashindano ya klabu Afrika ambavyo nchi 12 zilizo juu ndizo kila moja inapata nafasi nne za uwakilishi kwenye mashindano ya Afrika.
Yanga watakuwa wamejipatia point 1 yaani 0.5 ya mwaka huu na ile ya 2018 walioshika mkia kwenye kundi
Msimamo unasemaje mpka sasa?Mkuu njoo tupe msimamo wa point za Yanga vs Simba kwenye CAF, uzi una mwaka mmoja tu lakini yaliyojiri yanafurahisha. Embu tambeni sasa na rank basi