Simba Sc yaendelea kuingiza timu 4 mashindano ya CAF

Hujajibu swali nanukuu "kubwa jinga miaka yote hiyo kina point 1tu" hii ndiyo hoja ya msingi
Kwani mantiki ya hizo timu nne ina mashiko gani Kwa timu kama Yanga ambayo Kila mwaka inapata nafasi ya kushiriki mashindano ya Kimataifa, baada kuchukua Ubingwa wa Ligi kuu au ule wa Shirikisho?

Hii ndiyo hoja yangu. Yanga itashiriki tu hata timu zikibakia kuwa mbili! Sasa shida iko wapi? Kwani lazima izibebe timu nyingine?
 
Hata ibaki nafasi moja tutaenda sisi
 
CAF hawataki kabisa kuiachia Simba SC kuitaja yaani, mara nafasi ya 10 kwa ubora, mara wachezaji watatu wanaunda kikosi cha wiki, hatujakaa vizuri mara Chama mchezaji bora wa wiki wa CAF.
Yaani CAF ina mahaba na Mnyama ?
 
Mkuu njoo tupe msimamo wa point za Yanga vs Simba kwenye CAF, uzi una mwaka mmoja tu lakini yaliyojiri yanafurahisha. Embu tambeni sasa na rank basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…