jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,342
Kwani magoli mangapi yanatakiwa kushinda mechi.Kweli mna kiu ya ubingwa! !!! Hako kagoli kamoja ndo kanawaamsha popo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani magoli mangapi yanatakiwa kushinda mechi.Kweli mna kiu ya ubingwa! !!! Hako kagoli kamoja ndo kanawaamsha popo?
Mkuu Sembo hata kwenye reserve hayupomda wake ukifika atacheza sana
Acha azoee formation ya OmogLuizio sijui kaingia kufanya nini bora ya Blangnon.....
Hamna kitu humu aseee......Acha azoee formation ya Omog
Round ya kwanza Omog alikuwa anampika kwanza sasa ameivaHuyu banda.. ni hazina kubwa sana katika soka la Tanzania.
Mtashushwa tuFT SIMBA 1 JKT RUVU 0
Tunaendelea kung'ang'ania kileleni ng'ang'ana
Omog na Mayanja wanatakiwa wafanyie kazi sana safu ya ushambuliaji huu ushindi wa goal moja moja hauridhishiFT: Simba 1 Ruvu 0
na nani?Mtashushwa tu
Angebaki MO Ibrahim goli zingepatikana ila LUIZIO ni mzigo hauna tofauti na MavugoOmog na Mayanja wanatakiwa wafanyie kazi sana safu ya ushambuliaji huu ushindi wa goal moja moja hauridhishi
Maafande piga hao mikia warudi msimbazi kuuza mitumba
Piga hao Mikia FC tumalize mwaka vizuri.
Simba 0......Ruvu Shooting 3
Masau bwile
ruvu jesh kamata huyo mkia rudisha huko porin kwe nafas yake ya tatu alioizoea
Na iwe draw au kipigo kwa Paka la Msimbazi. Wote tuseme ameen
ruvu team piga mnyamaaa
Anapigwa simba Leo correct score simba 0 Jkt 1
Simba Koko
Ruvu shooting umefanya mazoezi ya kuwinda binadamu utashindwa kummaliza mnyama wa porini ambaye ananguvu nyingi lakini akili kidogo!!!
Simba timu............FUNGWA goli moja tu au udroo mambo yawe safi
Simba kapigwa goli hapa...
Dakika za refa | Simba 1 - 0 Ruvu Shootings
Mo Ibrahim ( Simba)
********* END OF UPDATE**********
Hii game ni draw
Full Time; Simba SC 1-0 Ruvu Shooting.Kweli mna kiu ya ubingwa! !!! Hako kagoli kamoja ndo kanawaamsha popo?