Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Hii timu iondolewe ligi kuu,ombaomba fc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali kama simba wangeshinda wangedai waongezewe magoli?
Sasa bila sheria mpira utachezwaje? Ikiwa hivyo hakuna haja ya kadi masna mtu akipigwa red card leo, mechi ya kesho yuko uwanjani kusadia timu ishinde.Ushauri wa Bure tff ligi ya 2017/2018 ondoeni hiyo kanuni ya kukata rufaa,wekeni kanuni mtu akifungwa uwanjani imetoka hy..
Pia zengwe hili limegubikwa na uchaguzi wa tff wa agost 12,watu wanahofia nafasi zao za kamati tendaji na kamati za ulaji
Mimi sielewi ni kwa nini timu yangu Simba haikutumia mbinu za Mbao FC ili kuimaliza Kagera Sugar. Kaburu alitusawazishia mabao mawili na kuongeza la tatu. Kwa nini hakufanya hivi huko bukoba? Badala yake akaishia kufungua matawi tu.Baada ya kuonenaka kuwa TFF ya Malinzi, wana Kagera wenzie ( Wahaya ) na Yanga FC wanataka kuiangamiza Klabu ya Simba juu ya points zake na tayari kukiwa na tetesi kuwa huenda leo mchana maamuzi rasmi yakatolewa na Simba SC kupokwa points Uongozi wa Simba umeitisha mkutano wa haraka sana na Waandishi wa Habari katika wanachosema kuwa TFF, wana Kagera ( Wahaya ) na Yanga FC wameamua kumwaga Ugali sasa Simba SC wao wanaenda kumwaga Mboga, Maji ya kunawa, Chumvi, Pilipili ile tuheshimiane hapa mjini kama siyo nchini.
Mpira wa Bongo umeshaharibika leo ndiyo FIFA na CAF watayajua madudu yote ya Malinzi na Watu wake wa TFF.
Hongereni sana Simba SC kwa kuamua Kukinukisha na leo ndiyo leo!
kwani points ni kwa ajili ya kombe tu?Hivi hao kagera wakipata hizo points wanaenda wapi?wanachukuwa kombe au?zote hizo ni FIGISU ZA MIDABWADA FC...aka PEREGE FC
Nimechaka sanaSimba SC hatuna shabiki kama wewe.. Nenda kaendeshe harambee Ndala FC...!
Kunywa sumu kama huipendinipe uhalali nianze kunywa bia maana siwapendi simba ile mbaya