Simba SC yakamilisha usajili wa beki wa dimba la kati Mohamed Ouattara raia wa Burkina Faso

Pablo alimfukuzisha Nabi mwaka gani??
Sorry..Kocha Gomez da Rosa ndo alimfungisha virago Nabi akiwa Al Merreikh ya Sudan March 6, 2021 baada ya hapo ndo akaja Yanga
 
Raia wa Ivory Coast
 
Nadhani pale simba kuna majitu kama lwanga,boko,akpan,mugalu ila hili ni jitu haswaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…