CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Pablo alimfukuzisha Nabi mwaka gani??Pablo alipoingia Simba alimfungisha virago kwenye michuano ya Kimataifa Nabi akiwa Al Merreikh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pablo alimfukuzisha Nabi mwaka gani??Pablo alipoingia Simba alimfungisha virago kwenye michuano ya Kimataifa Nabi akiwa Al Merreikh
Usipoteze muda kuwajibuJifunze kufuatulia kwanza kabla haujaamua kuropoka.
Raia wa Ivory CoastKatika kuendelea kuimarisha kikosi chake kwa msimu ujao wa 2022/ 2023 kwa michuano ya Ligi Kuu na michuano ya Kimataifa, Simba SC leo Julai 22, 2022 imekamikisha usajili wa beki wa dimba la katikati (Dinfensore Centrale) Mohamed Ouattara raia wa Ivory Coast kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Al Hilal ya Sudan.
Beki huyu Ouattara ni changuo la Kocha mpya wa miamba ya viunga vya Msimbazi Zaron Maki ambaye anaamini kuwa ukuta wake chini ya beki Ouattara mwenye experience kubwa na soka la Afrika utakuwa imara sana.
"Beki kisiki, beki wa kuzuia mipira ya juu na chini, beki bora na mwenye uwezo wa kucheza kwenye kikosi chetu, Mohamed Ouattara ni Mnyama". Imeeleza kwa ufupi taarifa kutoka klabu ya Simba SC.
Ouattara wa Ivory Coast anaungana na Moses Phiri, wa Zambia, Victor Akpan wa Nigeria, na Augustine Okrah kutoka Ghana, ambao ni wachezaji wa Kimataifa waliosajiliwa msimu huu, ambapo Klabu imepanga kufanya vizuri kwenye michuano mbalimbali wanaoshiriki.
View attachment 2299766
Hapa Al-Hilal walikua 4Hiki Kitasa Ouattara hapa hupiti kama ni mshambuliaji bora urudishe mpira nyuma tu.. YaaniView attachment 2299806
Kwani aliwahi kukulalia hadi ujue uzito wake wa kugeuka? Comment ya kidemu kabisa hiiNi lizito, kugeuka mpaka msaada wa wheelbarrow
Acha kusikia nenda youtube ukajionee mwenyewe,au na mbs tuwasaidie?Ni lizito, kugeuka mpaka msaada wa wheelbarrow
Nmesema tayariKwahivyo unataka kusemaje kuhusu hiyo game?