Aliyekua kocha wa Simba Patrik phili aliwahi kukiri Simba kuchukua ubingwa bila kufungwa Ila walihonga sana, Akiyewahi kua Mchezaji wa Simba Ulimboka Mwakingwe alisha wahi shikiliwa na polisi baada ya kipa shaabani kado wa Mtibwa kukataa pesa aliyopelekewa na Ulimboka iliawaisaidie Simba iifunge Mtibwa, kipa wa Yanga Shaabani kabwili aliwahi kuweka bayana njama za Viongozi wa Simba kumtaka afanye mipango apewe kadi ili asiweze kudaka Mechi ya Simba na Yanga.
Simba ina utamaduni wa kuhonga Marefa na wachezaji wa timu pinzani kwa muda mrefu, Vitendo hivyo hushindwa kuvifanya kwenye michuano mikubwa mwishoe hupigwa Goli tanotano.