Simba SC yalaani upangaji wa matokeo, yaahidi kutoa ushirikiano kwa mamlaka

Simba SC yalaani upangaji wa matokeo, yaahidi kutoa ushirikiano kwa mamlaka

ULIONA ZILE CHATS ZA WHATSAP KATI YA SENZO NA MBAGA?
Kwan zile chats una uhakika gan kwamba zilikuwa na malengo hasi?,Simba mnajiona sana but jueni kwamba mnashangaza sana kwenye soccer,kinachonikera et nyie mkifungwa mnahujumiwa na wakat msimu uliopita mlikuwa mnafunga magoli ya offside mnacheza mpra adi nje ya uwanja refa anapeta tu,wengine wakifungwa kicheko kwenu.
 
Kwan zile chats una uhakika gan kwamba zilikuwa na malengo hasi?,Simba mnajiona sana but jueni kwamba mnashangaza sana kwenye soccer,kinachonikera et nyie mkifungwa mnahujumiwa na wakat msimu uliopita mlikuwa mnafunga magoli ya offside mnacheza mpra adi nje ya uwanja refa anapeta tu,wengine wakifungwa kicheko kwenu.
hao marefa kama walikula rushwa na ushahidi mnao nendeni kashtakini jamani,jinai haina kikomo ndugu milango iko wazi,ukisema magoli hata msimu huu tunayo mengi tu sasa upuuzi wa hujuma hadi kwa wapishi mnataka kutuulia wachezaji wetu
 
Phili hajawahi kusema hivyo aliyesema kuna rushwa michezoni na ana ushahidi ni Kibadeni na aliitwa kuhojiwa TFF lakini kama kawaida TFF walikaa kimya, issue za Ulimboka na Kabwili zilimalizwa kimyakimya kwa kujua tabia ya TFF ndio maana Simba wakapeleka taarifa polisi tayari mwenyekiti wa yanga Mshindo Msolwa keshaanza kulalamika kwanini hawakwenda TFF
Inamaana mimi sijui kutofautisha Kati ya kocha phili na kibadeni?
 
Kilichofanya Juventus wakashushwa daraja ni baada ya mawasiliano yao kunaswa wakiulizia marefa wanaochezesha mechi zao, Juve hawakushikwa na ushahidi wa kutoa rushwa ila mazingira yaliwabana ndio maana pamoja na Juventus kushushwa hatukusikia marefa wowote wakiadhibiwa.
Chat za mawasiliano kati ya Senzo na aliyekuwa kiongozi wa Simba Hashim zilionyesha kabisa kuwepo mpango wa kuhujumu Simba.
Ni huruma gani au hisani gani ya kumlipia nauli kwenye mechi isiyo mhusu
 
Kipa wa yanga yule dogo alieleza simba walitaka kimpa hela afungishe hiyo hoja TFF wameikalia kimya.ila mikia lialia mna hangaika sana
 
Kipa wa yanga yule dogo alieleza simba walitaka kimpa hela afungishe hiyo hoja TFF wameikalia kimya.ila mikia lialia mna hangaika sana
Nendeni mkashitaki sio kulialia na tuhuma za uwongo Simba wamethubuti wamepeleka tuhuma polisi nyinyi kama mna ushahidi kwanini msipeleke taarifa polisi au takukuru
 
Nendeni mkashitaki sio kulialia na tuhuma za uwongo Simba wamethubuti wamepeleka tuhuma polisi nyinyi kama mna ushahidi kwanini msipeleke taarifa polisi au takukuru
Yaani mkuu katika msimu ambao nimewadharau Simba ni this season,Simba kufungwa tu et inahujumiwa,wakat last season Simba ilipata favour nyingi sana hasa yale magoli ya offside ya waz kabisa ata kama mchezaji ukikaa chini ukaanza kuangalia namna ulivyofunga ni lazima tu utashtuka kwamba hapa refa amelikubalije hili goli,yule Mmakonde alikokota mpira mpaka nje ya mstari wa uwanja mbele ya mshika kibendera hakuna kilichofanyika,TFF inawahribien tim yenu asee mna mambo ya kishamba sana,mambo mengine inatakiwa muelewe kwamba mpira una matokeo yake na hili ata kama mkielezwa haingii kwenye vichwa vyenu,kwenye mpira kubaliana na matokeo yake ambayo yanajulikana Duniani,kushinda,kushindwa na kusuluhu.
 
hao marefa kama walikula rushwa na ushahidi mnao nendeni kashtakini jamani,jinai haina kikomo ndugu milango iko wazi,ukisema magoli hata msimu huu tunayo mengi tu sasa upuuzi wa hujuma hadi kwa wapishi mnataka kutuulia wachezaji wetu
Hakuna sehem nilipozungumzia refa kupewa rushwa,mbona unachanganya mkuu,mie nimezungumzia hizo chats mnazodai kwamba tim yenu ya Tff Simba inahujumiwa na one of your official, mna uhakika gan kwamba zilikuwa ni za kuwahujumu?
 
Yanga imekuwa tabia yao kila wakiwa na vihela kidogo.
Ndio maana rekodi zao kimataifa si nzuri hata kidogo ukilinganisha na Simba,ijapo tunajua kiwango chetu cha soka bado kipo chini
Usilolijua yanga ina record nzuri kuliko simba za kimataifa.
 
Yaani mkuu katika msimu ambao nimewadharau Simba ni this season,Simba kufungwa tu et inahujumiwa,wakat last season Simba ilipata favour nyingi sana hasa yale magoli ya offside ya waz kabisa ata kama mchezaji ukikaa chini ukaanza kuangalia namna ulivyofunga ni lazima tu utashtuka kwamba hapa refa amelikubalije hili goli,yule Mmakonde alikokota mpira mpaka nje ya mstari wa uwanja mbele ya mshika kibendera hakuna kilichofanyika,TFF inawahribien tim yenu asee mna mambo ya kishamba sana,mambo mengine inatakiwa muelewe kwamba mpira una matokeo yake na hili ata kama mkielezwa haingii kwenye vichwa vyenu,kwenye mpira kubaliana na matokeo yake ambayo yanajulikana Duniani,kushinda,kushindwa na kusuluhu.
Yale magoli kona mmesahau, penati za azam walizonyimwa, penati ya kagera nje ya penati box na kadi ya awesu hizo ni mechi za msimu uliopita.
Penati ya kmc na simba mlizopewa mmesahau, goli la gwambina
 
Yale magoli kona mmesahau, penati za azam walizonyimwa, penati ya kagera nje ya penati box na kadi ya awesu hizo ni mechi za msimu uliopita.
Penati ya kmc na simba mlizopewa mmesahau, goli la gwambina
Mkuu naona unachanganya mambo.
 
Senzo kuwagomea kuingia mkataba wa kutotoa siri kati yake na Mikia. Hiyo Non Disclosure Agreement mnufaika ni Mikia.

Senzo hana cha kuficha zaidi ya kumwaga ukweli mezani.

Mikia wameamua kumfanyia umafia ili hatimaye wamchafue na aondoke nchini. .

Hawatafika popote zaidi ya kuwapa matumaini hewa mambumbumbu wao.
Huyo Senzo wako ameshameza ndoano na haitemeki kwasasa ni mwendo wa nenda rudi kwenye vyombo husika..!Na ataondoka na ufala wake..!
 
Back
Top Bottom