OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #21
ndio upeleke kesi mahakamaniAliyekua kocha wa Simba Patrik phili aliwahi kukiri Simba kuchukua ubingwa bila kufungwa Ila walihonga sana, Akiyewahi kua Mchezaji wa Simba Ulimboka Mwakingwe alisha wahi shikiliwa na polisi baada ya kipa shaabani kado wa Mtibwa kukataa pesa aliyopelekewa na Ulimboka iliawaisaidie Simba iifunge Mtibwa, kipa wa Yanga Shaabani kabwili aliwahi kuweka bayana njama za Viongozi wa Simba kumtaka afanye mipango apewe kadi ili asiweze kudaka Mechi ya Simba na Yanga.
Simba ina utamaduni wa kuhonga Marefa na wachezaji wa timu pinzani kwa muda mrefu, Vitendo hivyo hushindwa kuvifanya kwenye michuano mikubwa mwishoe hupigwa Goli tanotano.
Kwa hiyo kama ilikua hivyo, hili la sasa liachwe lipite? Maisha ya mazoea hayana nafasi. By the way, hivi vilabu viwili ni pasua kichwa sana TanzaniaAliyekua kocha wa Simba Patrik phili aliwahi kukiri Simba kuchukua ubingwa bila kufungwa Ila walihonga sana, Akiyewahi kua Mchezaji wa Simba Ulimboka Mwakingwe alisha wahi shikiliwa na polisi baada ya kipa shaabani kado wa Mtibwa kukataa pesa aliyopelekewa na Ulimboka iliawaisaidie Simba iifunge Mtibwa, kipa wa Yanga Shaabani kabwili aliwahi kuweka bayana njama za Viongozi wa Simba kumtaka afanye mipango apewe kadi ili asiweze kudaka Mechi ya Simba na Yanga.
Simba ina utamaduni wa kuhonga Marefa na wachezaji wa timu pinzani kwa muda mrefu, Vitendo hivyo hushindwa kuvifanya kwenye michuano mikubwa mwishoe hupigwa Goli tanotano.
ni vyema kama ni jinai ipelekwe polisi haraka,kashataki hilo jinaYaani simba washajisahau kama wana tawi linaitwa MPIRA PESA hili neno linamaanisha
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
FBI WALIMKAMATA BLATTER..KUNA MIFANO MINGI SANA YA KESI ZA RUSHWA KUCHUGUZWA NA POLISI ANGALIA HII SCREENSHOTKila siku nasema na Narudia Simba na Yanga ni mradi wa ccm kuwapumbaza watu ,makosa ya timu yanapelekwa kwenye chama cha soka cha nchi husika sasa inapotokea binadamu akapeleka mpira kwa polisi hasa Tanzania hapo hakuna mpira kuna kupoteza muda na pesa zenu ,poleni sana wanazi wa Simba na Yanga
JINAI HAINA KIKOMO,NI WAKATI WA WALIOHUSIKA KUGHUSHI WAFUNGULIWE KESI POLISI,SINGANO YPO HAPO ZAMBIA TU ANAPATIKANA KIRAHISIMmesahau mlivyo gushi saini ya Singano messi???
Alikuwa katibu mkuu wa zamani wa Yanga Issa Makongoro.Kuna kumbukumbu ya yanga kuhonga marefa kwenye michuano ya klabu bingwa afrika viongozi wake wakafungiwa maisha bado wanaendelea na huo mchezo mpaka sasa
kwanza Serkali ni yetu huko mlikokwenda na nayanga baba mmoja mkuu... Kijani na Njano ndio kimeshika nchi broJINAI HAINA KIKOMO,NI WAKATI WA WALIOHUSIKA KUGHUSHI WAFUNGULIWE KESI POLISI,SINGANO YPO HAPO ZAMBIA TU ANAPATIKANA KIRAHISI
Ni vema kesi za aina hii zifikishwe kwenye vyombo husika ili kuvikomeshaAliyekua kocha wa Simba Patrik phili aliwahi kukiri Simba kuchukua ubingwa bila kufungwa Ila walihonga sana, Akiyewahi kua Mchezaji wa Simba Ulimboka Mwakingwe alisha wahi shikiliwa na polisi baada ya kipa shaabani kado wa Mtibwa kukataa pesa aliyopelekewa na Ulimboka iliawaisaidie Simba iifunge Mtibwa, kipa wa Yanga Shaabani kabwili aliwahi kuweka bayana njama za Viongozi wa Simba kumtaka afanye mipango apewe kadi ili asiweze kudaka Mechi ya Simba na Yanga.
Simba ina utamaduni wa kuhonga Marefa na wachezaji wa timu pinzani kwa muda mrefu, Vitendo hivyo hushindwa kuvifanya kwenye michuano mikubwa mwishoe hupigwa Goli tanotano.
Phili hajawahi kusema hivyo aliyesema kuna rushwa michezoni na ana ushahidi ni Kibadeni na aliitwa kuhojiwa TFF lakini kama kawaida TFF walikaa kimya, issue za Ulimboka na Kabwili zilimalizwa kimyakimya kwa kujua tabia ya TFF ndio maana Simba wakapeleka taarifa polisi tayari mwenyekiti wa yanga Mshindo Msolwa keshaanza kulalamika kwanini hawakwenda TFFAliyekua kocha wa Simba Patrik phili aliwahi kukiri Simba kuchukua ubingwa bila kufungwa Ila walihonga sana, Akiyewahi kua Mchezaji wa Simba Ulimboka Mwakingwe alisha wahi shikiliwa na polisi baada ya kipa shaabani kado wa Mtibwa kukataa pesa aliyopelekewa na Ulimboka iliawaisaidie Simba iifunge Mtibwa, kipa wa Yanga Shaabani kabwili aliwahi kuweka bayana njama za Viongozi wa Simba kumtaka afanye mipango apewe kadi ili asiweze kudaka Mechi ya Simba na Yanga.
Simba ina utamaduni wa kuhonga Marefa na wachezaji wa timu pinzani kwa muda mrefu, Vitendo hivyo hushindwa kuvifanya kwenye michuano mikubwa mwishoe hupigwa Goli tanotano.
UNAMAANISHA MIMI NI UTOPOLO? NIOMBE RADHI KABLA SIJAKUSHTAKI KWA MODS KWA KUNIDHALILISHAkwanza Serkali ni yetu huko mlikokwenda na nayanga baba mmoja mkuu... Kijani na Njano ndio kimeshika nchi bro
[emoji16][emoji16][emoji16] Mtani mwaka huu hutoki
Simba imeshiriki michuano ya kimataifa mara ngapi? Tuweke rekodi ya Simba ya kila msimu alioshiriki michuano ya kimataifa tuoneYanga imekuwa tabia yao kila wakiwa na vihela kidogo.
Ndio maana rekodi zao kimataifa si nzuri hata kidogo ukilinganisha na Simba,ijapo tunajua kiwango chetu cha soka bado kipo chini
Samahani mkuu kama ww nimwananchi???UNAMAANISHA MIMI NI UTOPOLO? NIOMBE RADHI KABLA SIJAKUSHTAKI KWA MODS KWA KUNIDHALILISHA
Kumbe penati ya kagere vs yondani Simba nao walihonga refa eehYanga tarehe 7 November alihonga refa akapewa penati ya maelekezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo mana sina ushabiki na hizo timu zenu kabisaKila siku nasema na Narudia Simba na Yanga ni mradi wa ccm kuwapumbaza watu ,makosa ya timu yanapelekwa kwenye chama cha soka cha nchi husika sasa inapotokea binadamu akapeleka mpira kwa polisi hasa Tanzania hapo hakuna mpira kuna kupoteza muda na pesa zenu ,poleni sana wanazi wa Simba na Yanga
Mbona wale wa rushwa ya uchaguzi walipelekwa kamati kuu? Au hizi rushwa zipo tofauti?Rushwa ni jinai haiwezi pelekwa tff
Ahahaha,*****
AhahahAliyekua kocha wa Simba Patrik phili aliwahi kukiri Simba kuchukua ubingwa bila kufungwa Ila walihonga sana, Akiyewahi kua Mchezaji wa Simba Ulimboka Mwakingwe alisha wahi shikiliwa na polisi baada ya kipa shaabani kado wa Mtibwa kukataa pesa aliyopelekewa na Ulimboka iliawaisaidie Simba iifunge Mtibwa, kipa wa Yanga Shaabani kabwili aliwahi kuweka bayana njama za Viongozi wa Simba kumtaka afanye mipango apewe kadi ili asiweze kudaka Mechi ya Simba na Yanga.
Simba ina utamaduni wa kuhonga Marefa na wachezaji wa timu pinzani kwa muda mrefu, Vitendo hivyo hushindwa kuvifanya kwenye michuano mikubwa mwishoe hupigwa Goli tanotano.