Huyo police anayekula hela za Mo ili kumharass Senzo atapoteza kazi yake.Huyo Senzo wako ameshameza ndoano na haitemeki kwasasa ni mwendo wa nenda rudi kwenye vyombo husika..!Na ataondoka na ufala wake..!
Hakuna Afisa amepewa kitu na MO, hata kama ni hivyo kwa mtazamo wako kaa ukijua Senzo wako kazi anayo yaani, si mlisema kuwa ameondoka na mafaili ya Simba mkafurahia..Sasa msaidie kutema ndoano kama inawezekana..!Huyo police anayekula hela za Mo ili kumharass Senzo atapoteza kazi yake.
MOTL sijui kwenye mpira pekee. Uliza ya Mkemia Mkuuwa serikali wakati ule.
Kwanini Simba isishushwe daraja?! Unayajua yaliyo nyuma ya pazia?
Sio bure ndio mana unajiita kichwa kichafu mana kichwa kichafu kina uchafu mwingiMikia Mnatapatapa Sana Na Hapo Mmepoteza Mechi Mbili Ndio Mmejua Kuna Upangaji Wa Matokeo.
Subirini Kipigo Bado Kinaendelea. Mnasahau Wachezaji Wenu Wengi Wameanza Kuchoka.
Kina Wawa, Onyango huyo ni Uchochoro Akina Mkude Akina Kaata, Bocco Accuracy Imepungua Sana Bwalya Ndio Hamna Kabisa Bado.
Mnang'ang'ania Kutafuta Mchawi Nje Ya Team Wakati Mchawi Ni Kikosi.
Subirini Mjionee Hao Wa-Nigeria Watakavyofanya Mnaelewa Nini.
Sijui Mtamtafuta Mpangaji Wa Matokeo CAF.
Kwani sio hadija manara alisema tutangulize (Wana Yanga) malalamiko TFF, leo mmetangulia ninyi[emoji854][emoji854][emoji1][emoji1] tutaelewana taratibu. GSM babalao achana na Mali za familia