Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Onyango ni 30Sio onyango wa 28?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Onyango ni 30Sio onyango wa 28?
Huyo si baba yake asee... 30 amekuwa Kibu?Onyango ni 30
Mbona kama Simba inasajiri wachezaji wa aina moja? Sidhani kama Simba ina tatizo la kiungo ushambuliaji
- Saido
- Chama
- Kibu
- Banda
- Phiri
- Sacko
- Onana
- Karmo
Hiyo timu dhaifu ikakuweka 2 kimya,[emoji1787][emoji1787]
Mazungumzo yanaendelea na Zola wa usma algerBado nasubiria usajili wa beki wa maana kwasababu ndilo tatizo kuu letu kwa msimu ulioisha
Kama kamliza mkataba wake kama huyu anaweza kuja maana kumnunua hatuweziMazungumzo yanaendelea na Zola wa usma alger
Mkuu sisi ni kutunza tu mafile.Tunazisoma comment then baada mechi tano tutaurudia uzi huu.
Kuwa acha Saido na Chama ni very trickyChama
Saido
Mikataba yao inaisha na hawataongezewa tena
Banda ataachwa
Phiri atakuwa benchi
Msimu ujao wataachwa tuKuwa acha Saido na Chama ni very tricky
Mzize aliyekomaa ndani kwa ndani kama tikitimaji?🤔Jamaa ana miaka 27 lakini bado ukimcheki sura inaonesha kama Mzinze under 20 wa Yanga
Sidhan km kamaliza mkatabaKama kamliza mkataba wake kama huyu anaweza kuja maana kumnunua hatuwezi
Mbegu yupo usiwaze,pale kati anatua ngoma na efoe novon au banfa sylla,ni balaa hao ,wanajua haooooSimba kafungwa 17, Yanga kafungwa 18. Ila Simba wanahitaji kupata chuma kimoja kwa ajili ya upande wa kushoto na viwili kwa ajili ya sshemu ya beki wa kati.
anaweza akauwasha motoHata kwa akina Nelson Okwah, Sawadogo, Mohamed Outarra, Augustine Okrah, Victor Akpan, Mlete Mzungu, na wengineo wengi! Story zilikuwa ni hizi hizi. Ila mwisho wa siku mambo yakawa ni tofauti kabisa.
Simba haiitaji no9 bro. Baleke anatosha maana simba kila mchezaji anafungaSimba Imebakiwa na nafasi Moja tu.
Ya usajili.
Ama iwaache wachezaji kama
Banda, sakcho, Phili, kanute.
Changamoto kubwa ni
Golikipa.
Beki 5.
Kiungo 6.
Kiungo 8.
Mshambuliaji 9.
Lakini Hadi sasa nafasi nyeti na Muhimu kama hizi wapo kimya