Simba Sc yamnyatia Striker Mromania Daniel Iliuta Popa

Simba Sc yamnyatia Striker Mromania Daniel Iliuta Popa

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
236968500_10158008820985064_8382201752164902020_n.jpg


Screenshot_20210812-203835_Chrome.jpg


Klabu ya Simba SC 🦁 imefikia makubaliano ya Usajili na mshambuliaji wa kimataifa wa Romania Daniel Iliuta Popa 🇷🇴 mwenye miaka 26.
 
Chif Simba hapa ndani ishamaliza akuna tena wa kuisumbua,sasa wanafocus CAFCL,hii ndo maana ya Simba kuitwa The next level.
Kwa hiyo unaleta mchezaji wa kucheza michezo ya kimataifa tu, hii kweli ni sahihi ? Tumesahau kilichotokea kwa wale wachezaji walioajiriwa January kwa ajili ya CAF tu , wote waliondoka, kama kweli Simba wakifanikiwa kumsajili huyo Mzungu, most probably ataishia kuumia tu huko kwenye mashamba ya mpunga mikoani.
 
Kwa hiyo unaleta mchezaji wa kucheza michezo ya kimataifa tu, hii kweli ni sahihi ? Tumesahau kilichotokea kwa wale wachezaji walioajiriwa January kwa ajili ya CAF tu , wote waliondoka, kama kweli Simba wakifanikiwa kumsajili huyo Mzungu, most probably ataishia kuumia tu huko kwenye mashamba ya mpunga mikoani.
Lakini bado ataweza kucheza hivyo viwanja vizuri
 
Kwa hiyo unaleta mchezaji wa kucheza michezo ya kimataifa tu, hii kweli ni sahihi ? Tumesahau kilichotokea kwa wale wachezaji walioajiriwa January kwa ajili ya CAF tu , wote waliondoka, kama kweli Simba wakifanikiwa kumsajili huyo Mzungu, most probably ataishia kuumia tu huko kwenye mashamba ya mpunga mikoani.
Simba ina scouting wazuri kufanya vetting kwa wachezaji,Simba ina benchi zuri sana la ufundi,wewe kula ndizi nyama utazikuta chini huko.
 
Sawa na kama ataweza kupambana kwenye uchawi, haina shida
Mabingwa wa uchawi kwa nchi za maziwa makuu ni Congo yenye timu kama As Vita aliyepigwa kwao na kwa Mkapa. Wa mwisho kwa uchawi nchi za SADC ni South Africa ya Mamelody aliyempiga Mazembe kwao Congo na kwa Madiba.
 
Back
Top Bottom