GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Hebu kalale kampa babu chakula yake huku sio mahali pakoWewe nae michezo ya kirafiki si huwa ni mazoezi tu?
Hata huo uwanja wenyewe unaonesha ni wa mazoezi tu.
Nakumbuka Yanga na Simba za
miaka ya 70s zilikuwa zinakwenda Brazil na nchi zingine za Ulaya kwa michezo ya kirafiki. Tena kwa wafadhili ilikuwa kwa mapenzi tu ya mchezo siyo siku hizi kwa kipato.
Sasa jamani mpira umekuwa Tanzania au umeshuka?
Babu alikuwa bonge la player, kama huelewi.Hebu kalale kampa babu chakula yake huku sio mahali pako
Maana ukiona mpaka nahodha John Bocco amefunga, basi ujue hapo kuna namna.
Huwa nawashangaa mnaombeza Bocco. Nakwambia hivi, ukiondoa kelele za kishabiki (za mashabiki wa pande zote mbili), hakuna striker bora mzawa anayemfikia Bocco, sizungumzii kwa rekodi, nazungumzia kwa nyakati hizi za sasaHuyu bocco kuna kitu anataka kutuaminisha halaf ligi ikianza tuanze kutafta wachawi
Okwi kacheza na timu Gani?View attachment 2700476
Simba Sc ikiwa inacheza kwa kasi kama umeme imepiga mtu 2-0 huko Uturuki. Hii ni mechi ya mchana tu,jioni ya saa 12 tunapiga game nyingine. Hii ni tahadhali kwa timu ndogo ndogo na zile za CAF Champs
Nguvu Moja
Bocco haram ni uchafu tuHuwa nawashangaa mnaombeza Bocco. Nakwambia hivi, ukiondoa kelele za kishabiki (za mashabiki wa pande zote mbili), hakuna striker bora mzawa anayemfikia Bocco, sizungumzii kwa rekodi, nazungumzia kwa nyakati hizi za sasa
Jibu swali ,ndio uulize swali...kama huna jibu Kaa kimyaWewe waonaje umeshuka ama umepanda?
Turan FC ya huko UturukiOkwi kacheza na timu Gani?
Okwi Boban nakuheshimu sana. Turan Tovuz ni katimu kanatoka Azerbaijan na kameanzishwa 1992. Ulaya kalicheza 1995 na kwenye ligi ya Azerbaijan Kako hoi. Usitulishe matango Mkuu.Turan FC ya huko Uturuki
Njoo na andiko la kishirikina kama lile la jezi nzito
kweli ni timu ya Azerbaijan.ligi yao imeisha wakiwa nafasi ya sita.Okwi Boban nakuheshimu sana. Turan Tovuz ni katimu kanatoka Azerbaijan na kameanzishwa 1992. Ulaya kalicheza 1995 na kwenye ligi ya Azerbaijan Kako hoi. Usitulishe matango Mkuu.
Kwa hiyo lile promo la DPW bàsi, sasa uko kwenye soccer?Wewe nae michezo ya kirafiki si huwa ni mazoezi tu?
Hata huo uwanja wenyewe unaonesha ni wa mazoezi tu.
Nakumbuka Yanga na Simba za
miaka ya 70s zilikuwa zinakwenda Brazil na nchi zingine za Ulaya kwa michezo ya kirafiki. Tena kwa wafadhili ilikuwa kwa mapenzi tu ya mchezo siyo siku hizi kwa kipato.
Sasa jamani mpira umekuwa Tanzania au umeshuka?
Sasa hivi napiga promo DPW wa sponsor timu yangu ya Pwani Stars.Kwa hiyo lile promo la DPW bàsi, sasa uko kwenye soccer?
Mambo ya matimu ya mpira ungeachana nayo, wewe pigania ujenzi wa misikiti. Kwa wazo hili, ufadhili wa DPW ni nje nje tofauti na mpira/ kandandaSasa hivi napiga promo DPW wa sponsor timu yangu ya Pwani Stars.
In shaa Allah mtatuona misimu ijayo, lakini mtatusikia, tunaanzia chini tuweke historia kama waliyoiweka Nottingham Forest miaka ya zamani, Unawajuwa Nottingham Forest wewe?
Hao wanafadhili sana michezo, wasome vizuri.Mambo ya matimu ya mpira ungeachana nayo, wewe pigania ujenzi wa misikiti. Kwa wazo hili, ufadhili wa DPW ni nje nje tofauti na mpira/ kandanda