Simba SC yapokea kichapo kutoka vibonde wa Dubai

Simba SC yapokea kichapo kutoka vibonde wa Dubai

Palipo na Simba Yanga haikosekani..sasa ww Yanga umekuja kufanya nini hapa wakati mechi ni ya Simba??mtanii wacha tuinjoyy
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kwaio mnajipooza kwa kuisema Yanga?

Eti kocha wenu anasema anasuka kikosi[emoji1787][emoji1787]
Hivi ni lini mtaacha kuishi kwa matumaini kama wagonjwa wa ukimwi?
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kwaio mnajipooza kwa kuisema Yanga?

Eti kocha wenu anasema anasuka kikosi[emoji1787][emoji1787]
Hivi ni lini mtaacha kuishi kwa matumaini kama wagonjwa wa ukimwi?
Hayawahusu ya Simba acheni kujiumiza mkuu...sisi tunaenjoy na timu yetu mbona kama maumivu mnayasikia sana nyie?? Wait and see...nyie jiandaeni na shirikisho muda unaisha hahaha
 
Na amejuwa kuwaweza aisee. Hampumui daile anawapa dozi tu
Ila mm nampenda mtani anatupa updates wana Simba yani humu hatupoi hatuboi mnalishwa mafaili ya Simba na mwana Yanga... 😆 😆 😆 😆
 
Kama Yanga ilivyopokea na itakavyopokea kipigo kutoka kwa timu dhaifu ya Ihefu
Nimevumilia mengi sana jamani, kuna siku Yanga ilifungwa na Ihefu nikamkuta White amejificha chooni anacheka! Niliumia sana [emoji41][emoji41]
20230113_183610.jpg
 
Ila huyu jamaa ni chawa wa Simba kimtindo mtindo huwezi kukaa 24/7 uko busy na Simba tuu... unaipenda itakua... maana Simba inataradadi JF na anaenzisha nyuzi ni mtu anajiita utopolo 😆 😆 😆 😆
Kwani kuanzisha uzi wa matokeo ya Simba imekuwa tatizo?, Usipangie watu vitu vya kufanya Kama huwezi wewe wengine wanaweza.... Au kwasababu mmepakatwa ndio maana unaona ni ajabu kuleta taarifa za ngada fc?
 
Kwani kuanzisha uzi wa matokeo ya Simba imekuwa tatizo?, Usipangie watu vitu vya kufanya Kama huwezi wewe wengine wanaweza.... Au kwasababu mmepakatwa ndio maana unaona ni ajabu kuleta taarifa za ngada fc?

utopolo og povu huku... 😆 😆 😆
 
Asichofahamu mtoa Uzi ni kwamba Simba kwa kuwa imepata kocha mpya ameluja na mifumo yake ambayo sasa anaifanyia majaribio.
Lengo sio ushindi bali ni kuona ile mifumo yake ni namna gani imepokelewa na wachezaji.
 
Back
Top Bottom