mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
Aisee hamuishi visingizio nyie. Anyway endeleeni kutafuta hiyo mifumo siku mkiipata tayari tutakuwa tumechukua ligi Kwa mara nyingineAsichofahamu mtoa Uzi ni kwamba Simba kwa kuwa imepata kocha mpya ameluja na mifumo yake ambayo sasa anaifanyia majaribio.
Lengo sio ushindi bali ni kuona ile mifumo yake ni namna gani imepokelewa na wachezaji.
Alafu akija kumasta mfumo ligi itakua imebakiza mechi ngap?Asichofahamu mtoa Uzi ni kwamba Simba kwa kuwa imepata kocha mpya ameluja na mifumo yake ambayo sasa anaifanyia majaribio.
Lengo sio ushindi bali ni kuona ile mifumo yake ni namna gani imepokelewa na wachezaji.
Kwani ligi haitaendelea baada ya hii kufikia tamati..tafakari kabla...Alafu akija kumasta mfumo ligi itakua imebakiza mechi ngap?
Alafu akija kumasta mfumo ligi itakua imebakiza mechi ngap?
Kwa taarifa tu kuwa kocha katumia wachezaji wale wale wa kikosi cha kwanza isipokuwa tu Inonga, Manula na Mzamiru. Na mfumo katumia ule ule aliokutaAsichofahamu mtoa Uzi ni kwamba Simba kwa kuwa imepata kocha mpya ameluja na mifumo yake ambayo sasa anaifanyia majaribio.
Lengo sio ushindi bali ni kuona ile mifumo yake ni namna gani imepokelewa na wachezaji.
Ukiwa unajaribu mfumo unatakiwa ufugwe?Asichofahamu mtoa Uzi ni kwamba Simba kwa kuwa imepata kocha mpya ameluja na mifumo yake ambayo sasa anaifanyia majaribio.
Lengo sio ushindi bali ni kuona ile mifumo yake ni namna gani imepokelewa na wachezaji.
Najua ni mapema sana ila huwa nina mashaka na mtu anapewa jukumu zito na yeye anajua lakini anakuwa na maneno mengi mno as if atacheza yeyeKocha anasema vijana wake wamecheza mpira mzuri
Kamoja cha nguruwe πIla huyu jamaa ni chawa wa Simba kimtindo mtindo huwezi kukaa 24/7 uko busy na Simba tuu... unaipenda itakua... maana Simba inataradadi JF na anaenzisha nyuzi ni mtu anajiita utopolo π π π π
Kamq cha al hilalKamoja cha nguruwe π
AhahhaahhaKamoja cha nguruwe π
Kocha mwenye ndo huyu anamuona Kibu?Kocha anasema vijana wake wamecheza mpira mzuri