Meneja wa uwanja ni nani?
Hana boss wake?
Je anapaswa kuambiwa na nani kwamba kikanuni Simba alitakiwa kufanya mazoezi kwenye uwanja kabla ya mechi na muda mechi itakapochezwa?
Baada ya kukataa,hakuna aliyechukua hatua za kumtaarifu?au boss wake naye hajui mpira?
Hao makomandoo wa yanga,wana nguvu kuliko polisi?Kana watu wanaleta vurugu,kwa nini wasikamatwe na kuwekwa ndani?
Hii yanga mnaiendekeza sana,na hawa watu wa siasa wanaolazimisha club iwe ya serikali wanaonyesha upuuzi wa hali ya juu.Wana timu za majeshi lakini hawazipi upendeleo kama huu wanaoipa yanga.
Yanga ni kama vile vikundi vya mazombi kule Zanzibar wakipiga wapinzani halafu serikali nayo inachekelea tu
Sent from my Infinix X626 using
JamiiForums mobile app