Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
Duh🙌🏾
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🐕🐕🐕mbwa koko🚮🚮🚮
Unawaaibisha wandali mkuu
Sawa Mangungu 🚮🚮🚮It don't mean sh!t
Ni eidha wampe Yanga point 3 na Ubingwa ila msimamo wa Simba uendelew kuwa palepale.
Next match Simba akiwa mwenyeji anaweza kuja na payback ambayo nobody will see it coming na hizi sheria zikashindwa kuamua.
Hata hiyo siku anayoruhusiwa sio siku na muda wowote? Na kuamua kwenda, sio kujiamulia?Kanuni ya 45 inasema timu mgeni itafanya mazoezi angalau mara 1 kwenye uwanja wa Mechi kabla ya siku ya Mechi. Haijasisitiza iwe siku 1 kabla ya Mechi Kwa hiyo Kanuni hiyo inatoa wajibu Kwa timu mgeni kusema atakwenda lini. Unayosema ni kama vile Simba ingeweza kujiamulia kwenda siku na Muda wowote inataka?
Wapi huko waliingiza fisi Itilima?mbona nyie mliingiza fisi asubui au mlidhani hawajawaona...
ubaya ubwela