Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Wenye uwanja na mabaunsa wa Yanga.Wamezuiwa na wenye uwanja sio yanga. Ndio maana meneja wa uwanja aliweka wazi kuwa hana taarifa rasmi za simba kwenda kufanya mazoezi. Kila kitu kina utaratibu wake. Pelekeni timu uwanjani acheni janja janja