Simba SC yatangaza haitacheza mechi dhidi ya Yanga, Wakidai vitendo visivyo vya kiungwana dhidi yao

Simba SC yatangaza haitacheza mechi dhidi ya Yanga, Wakidai vitendo visivyo vya kiungwana dhidi yao

TFF na Kamati zenu huko msione Aibu kuweka hadharani Maamuzi ya mwisho na Simba SC ambayo wameyatoa baada ya nyie kwenda Kuwaomba kwa Kuwabembeleza kuwa Wacheze Mechi ya Leo pamoja na kuwatumia Viongozi Waandamizi (wenye Usimba) wawashawishi.

GENTAMYCINE nina taarifa za uhakika kuwa Simba SC wametoa Masharti Makuu mawili na kuwataka muyatekeleze

1. Watu wote waliohusika na Upuuzi uliotokea pamoja, Klabu ya Yanga na baadhi ya Viongozi wao Waadhibiwe upesi

2. Mechi ichezwe ama Kesho (Jumapili) au Jumatano ijayo au Weekend ijayo kwa Sharti la kuruhusu Simba SC ifanye Mazoezi Siku moja kabla ya Mchezo

Nimemaliza.

Safi sana Simba SC. Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE a.k.a Kiboko ya Wapumbavu na Wanafiki wote duniani Ok?
 
Kuna utofauti wa kauli hapo

"Usipofanya mazoezi siku ya mwisho" ni tofauti sana na "kuzuiwa kufanya mazoezi ya mwisho"

Unaweza usifanye mazoezi ya mwisho kwa utashi wako kwasababu wewe hujaamua.

Kweli kwenye hili ni personal issue and there's no way opponent team can be responsible.

Sisi tupo kwenye kuzuiwa.
Wamezuiwa na wenye uwanja sio yanga. Ndio maana meneja wa uwanja aliweka wazi kuwa hana taarifa rasmi za simba kwenda kufanya mazoezi. Kila kitu kina utaratibu wake. Pelekeni timu uwanjani acheni janja janja
 
Safi kumbe inaruhusiwa angalau mara moja sasa kwanini mmewazuia?
Unaonekana hukufatikia mahojiano kati ya mtangazaji na mwenyekiti wa bodi ya ligi, Simba walienda juzi kufanya mazoezi katika uwanja huo hivyo kama jana wangefanya ingekuwa ni ya mara ya pili.
 
CCM Ndio inapenda vijana Wa Tanganyika waweke nguvu zao huko kwenye simba Na YANGA".

Great Thinker
.

Leo Tutaona Nyuzi za Simba na Yanga zaidi ya elfu 60 humu jukwaani.
 
CCM Ndio inapenda vijana Wa Tanganyika waweke nguvu zao huko kwenye simba Na YANGA".

Great Thinker
.

Leo Tutaona Nyuzi za Simba na Yanga zaidi ya elfu 60 humu jukwaani
 
  • Kicheko
Reactions: BRB
Unacheza vipi bila kutrain kwa zaidi ya masaa 50?
kwa hyo ukifanya hyo siku moja ndo utamaliza matatizo yako?kama timu mbovu ni mbovu tu acheni sababu.hakuna kanuni inayosema ukikatazwa kuingia uwanjani usiingize timu
 
Naomba nisaidie record za Simba na Yanga kutumia uwanja unaotarajiwa kuchezea mechi kwa kufanyia mazoezi ya mwisho
Ishu sio rekodi za wao kutumia uwanja.

Ishu ni sheria.

First leg nyie mlifanyia Avic Town ni kwasababu ya maamuzi yenu na uhuru wenu.

Ila mngetaka kufanyia mwa Mkapa hakuna mtu angewazuia.

Kwa hiyo tofautisha kutofanya mazoezi kwenye uwanja utaotumika kwenye mechi kwasababu zako binafsi na kuzuiwa kinyume na sheria inayompa ruhusa timu ngeni kufanya mazoezi kwenye uwanja utaotumika kwenye mechi husika.
 
Acha kufananisha tukio la yanga na hili, yanga alibadilishiwa ratiba masaa machache kabla ya mchezo 😂😂. Mnakimbia mechi
Kwa hiyo mabadiliko ya ratiba yalienda kuigusa Yanga peke yake?
 
Mabadiliko ya ratiba ya mechi yanapaswa kufanyika saa 72 kabla ya mechi,we saa nne asubuhi kisa timu yenu imepiga ramli na kuona itafungwa,mnabadili ratiba bila sababu za msingi
Sheria hiyo haisemi kama mabadiliko yakitokea kinyume na hapo timu zisusie.

Ni kama ambavyo Simba wanataja sheria inayowapa ruhusa kufanya mazoezi.

Na mind you sababu za mechi ile kusogezwa mbele zilichangiwa na shinikizo la serikali.

Kulikuwa na jambo la kiserikali linatarajiwa kufanyikia na hivyo waliogopa haliwezi kupewa attention kwasababu focus ya wengi ipo kwenye Derby.

Kwa hiyo kuhusisha ushirikina kuwa ni sababu ya mechi kuhairishwa ni eidha una bias au hukumbuki vyema kilichotokea.
 
CCM Ndio inapenda vijana Wa Tanganyika waweke nguvu zao huko kwenye simba Na YANGA".

Great Thinker
.

Leo Tutaona Nyuzi za Simba na Yanga zaidi ya elfu 60 humu jukwaani.
Ukiona tu JF Member HAMPENDI GENTAMYCINE ILA KUTWA ANAMFUATILIA JUA SI TU ANAMKUBALI ILA ANATAMANI AWE MKEWE.
 
CCM Ndio inapenda vijana Wa Tanganyika waweke nguvu zao huko kwenye simba Na YANGA".

Great Thinker
.

Leo Tutaona Nyuzi za Simba na Yanga zaidi ya elfu 60 humu jukwaani
Ukiona tu JF Member HAMPENDI GENTAMYCINE ILA KUTWA ANAMFUATILIA JUA SI TU ANAMKUBALI ILA ANATAMANI AWE MKEWE.
 
Simba hawezi kukatwa pointi kwenye tatizo ambalo ametengenezewa.

Anakatwa point akiwa yeye ndio amevunja kanuni. Hawezi kuwajibika kwenye makosa yaliyofanywa na mtu mwingine.

And by records Simba wapo vizuri kwenye sheria na wanajitahidi sana kuheshimu taratibu za kimpira.

Sitaki kuamini kama wamekuwa wazembe wasione hili uliloliona wewe.
Anakatwa point kama hatofika uwanjani, kanuni hiyo ina adhabu yake ambayo ni faini. So usipoenda uwanjani unakatwa point 3 na magoli 3
 
Ishu sio rekodi za wao kutumia uwanja.

Ishu ni sheria.

First leg nyie mlifanyia Avic Town ni kwasababu ya maamuzi yenu na uhuru wenu.

Ila mngetaka kufanyia mwa Mkapa hakuna mtu angewazuia.

Kwa hiyo tofautisha kutofanya mazoezi kwenye uwanja utaotumika kwenye mechi kwasababu zako binafsi na kuzuiwa kinyume na sheria inayompa ruhusa timu ngeni kufanya mazoezi kwenye uwanja utaotumika kwenye mechi husika.
Sawa bahati nzuri kadri muda unazidi ndipo mambo mengi yanaanza kujionesha. Nimesikiliza mahojiano na mwenyekiti wa bodi ya ligi na mwandishi wa habari. Inasemekana Simba siku ya Alhamisi walifanya mazoezi katika huo uwanja wa Mkapa. Sheria inasema angalau mara moja kabla ya mechi, sasa kama ni kweli Simba walifanya mazoezi siku ya Alhamisi kulikuwa na haja gani ya kugomea mechi?
IMG_20250308_111423.jpg
 
Kwani lini kuliwahi kuwa na sheria inayoruhusu timu kususia mechi pindi tu bodi ya ligi itapotangaza mabadiliko ya ratiba ya mechi husika?

Au hujui kuwa march 8, 2021 Yanga waligomea mechi?

Simba walipewa point za mezani?
Kanuni ilikuwa upande wa yanga kwakuwa taarifa ilitoka nje ya muda unaoruhusiwa ndio maana yanga akufanywa chochote,,sasa tuambie ni kanuni Gani kwenye hili inakulinda!
 
Back
Top Bottom