vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 2,474
- 4,726
Swala ni kwamba umefanya angalau mara moja kabla ya siku ya mechi.Neno "mara moja kabla ya mechi" halipo fixed na muda. Yani halifungamani na muda.
Mtu hata aliyefanya mazoezi wiki iliyopita naye anakuwa amefanya mara moja kabla ya mechi.