Simba SC yatangaza haitacheza mechi dhidi ya Yanga, Wakidai vitendo visivyo vya kiungwana dhidi yao

Kwa nini simba alitaka aingie na mbuzi na bundi mzoga uwanjani?
 
Hakuna Kususa hapa
 

Soka la Tanzania limejikita zaidi kwenye masuala ya kutegemea 'Ndumba na Vibuyu' badala ya kutegemea Sayansi ya Kufanya Mazoezi ili kuweza kujiimarisha vizuri zaidi kwa ajili ya Soka la Ushindani.

Wahusika wanashindwa kuelewa kwamba Soka ni Sayansi, ambapo ukifuata Kanuni basi Matokeo Chanya lazima utayapata na usipofuata Kanuni Matokeo Hasi lazima utayapata.
 
Wangekuwa wanakatwa points haya mambo yangeisha.
 
Meneja wa uwanja ni nani?
Hana boss wake?
Je anapaswa kuambiwa na nani kwamba kikanuni Simba alitakiwa kufanya mazoezi kwenye uwanja kabla ya mechi na muda mechi itakapochezwa?

Baada ya kukataa,hakuna aliyechukua hatua za kumtaarifu?au boss wake naye hajui mpira?

Hao makomandoo wa yanga,wana nguvu kuliko polisi?Kana watu wanaleta vurugu,kwa nini wasikamatwe na kuwekwa ndani?

Hii yanga mnaiendekeza sana,na hawa watu wa siasa wanaolazimisha club iwe ya serikali wanaonyesha upuuzi wa hali ya juu.Wana timu za majeshi lakini hawazipi upendeleo kama huu wanaoipa yanga.

Yanga ni kama vile vikundi vya mazombi kule Zanzibar wakipiga wapinzani halafu serikali nayo inachekelea tu


Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli mkuu. Basi angalau kututhibitishia uchawi unasaidia basi wamroge Al Ahly wawe wanabeba wao kombe la CAF.
 
Kanuni haisemi timu ngeni ikinyimwa kufanya mazoezi iginee
Kanuni haisemi timu ikizuiwa kufanya mazoezi igomee match husika,kanuni ipo wazi Yanga atapigwa faini ya hela au onyo Kali na aliegomea match atakatwa point 3 na magoli matatu.
 
Tulieni dawa iwaingie,hii ndio maana halisi ya Ubaya Ubwela.
 
Ni ujinga na ushamba.
Hahahaha,hili nalijua na ndio maaana siuelewagi

Mfn.. kesho pre match meeting itakuwepo ? Au imefanyika ?

Vipi marefarii ,kamisaa na timu pinzani zikafika uwanjani na Simba wasiwepo watatoa points

Wataishuisha daraja au ?

Ila NAJUA MECHI ITAHAALISHWA NAKUPANGWA SIKU NYINGINE...KESHO PRESS YA TPLB
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…