Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Sasa unaenda uwanjani umebeba paka na vizee kutoka rufiji unategemea uruhusiwe kuingia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora mkuu umesema ukweli, mashabiki wenye mihemko mkubwa na Hoya Hoya wanasema kua timu ya Simba imefika saa tatu usiku tena ikiwa na basi limejaa wazee ,, Sasa najiuliza na kipindi huku Kuna simu za kila aina walishindwa nini kudhibitisha hata Kwa video na picha kuonesha basi linaingia saa 3 usiku na picha nyingine waipige ndani ya Basi tukioneshwa hao wazee,,tena tunaambiwa kwa mihemko mkubwa kua walikua wamevaa nguo nyekundu ..kumbe basi linaondoka saa 3 wao ndio wanasema ndio muda walioingia, ujinga mzigo.Acha uongo simba wamefika uwanjani saa 7:00 tena yanga ndo wanatoka
Wengine ndio tunaingia Dar Jamani kwa ajili ya hii game!Katika taarifa kwa Umma waliyoitoa saa 7 na dakika 46 usiku wa 8/3/2025 klabu hiyo imesema haitoshiriki mchezo huo wa Derby uliopangwa kufanyika majira ya saa 1 usiku 8/3/2025 kutokana na kuzuiliwa kufanya mazoezi uwanja wa Benjamin Mkapa na Wanaojiita Makomandoo wa Yanga
Nini maoni yako?
soma zaidiView attachment 3263095
Pia soma:Tetesi: - Simba kugomea mechi kwakuwa hawakuruhisiwa kufanya mazoezi ya mwisho uwanja wa Mkapa
Taarifa nilizonazo kutoka Kwa viongozi waandamizi wa club ya Simba ni kuwa katika kikao kilichofanyika usiku huu wamedhamiria kususia mechi Nilipomhoji kuhusu kanuni Kwa timu isiyofika uwanjani ni kukatwa points 3 na magoli 3 pamoja na kushushwa daraja, amejibu kuwa wako tayari Kwa lolote na...www.jamiiforums.com
Inadaiwa Klabu ya Simba imezuiliwa kuingia Mkapa kufanya mazoezi kuelekea Kariakoo dabi
Wakuu Ubaya Ubwela umewageukia! Kwa mjibu wa Watangazaji wa EFm Inadaiwa Klabu ya Simba imezuiliwa kuingia Mkapa kufanya mazoezi kuelekea Kariakoo dabi Tazama video hii ya tukio husika Mwendelezo: Kikosi cha Simba, kimeondoka katika uwanja wa Benjamin Mkapa na kurejea kambini baada ya...www.jamiiforums.com
Sio kwamba nyinyi yanga na mashabiki wa aina yako ndio wajinga na washamba? Kwani nyinyi ni nani nchi hii Hadi kwanza mruhusiwe nyinyi pekee kufanya mazoezi kwenye uwanja halafu mkiondoka mzuie wengine wasifanye. Acheni mambo ya kichawi na Imani potofu za kipumbavu, kama uchawi ungekua unafanya kazi mmngechukus ubingwa wa shirikisho wakati ule mko fainali, mmewafikiria hata watu kutoka nchi mbalimbali waliotoa pesa kununua tiketi kuja kuangalia mechi kwa upumbavu mliofanya, nyinyi si mmeonekana na Mheshimiwa Awesu kua mko huko pangani mko mnazungukia waganga tena viongozi wakubwa na tai zao , Sasa mnawaogopa Simba pamoja na uchawi wenu na makafara mnayofanya..utter nonsense.Ni ujinga na ushamba.
Ujinga wa watanzania aina yako ni mtaji mkubwa sana wa chama tawalaKihoro kinawasumbua simba; wameogopa kichapo. Pamoja na kuwa Uwanja wa mkapa unatumiwa na Yanga pamoja na Simba kama uwanja wa nyumbani, wao siyo wamiliki wa uwanja huo. Mmiliki ni serikali ya tanzania.
Kusema walikuwa mabaunsa wa yanga, ni kisingizioa kischo na mashiko yoyote kisheria.
Woga wa kichapo unawasumbua sana Simba wakati huu..
Wamekimbia mkono wa nyani mwingine hao. Si saa 12 tunaelekea uwanjani. Vijana wanafuturu na kupiga tizi. Ikifika saa 1:15 timu inaingia uwanjani kwa ajili ya kuanza mechi.Vipi kuhusu hii?View attachment 3263114
Hapo akuna mjadala kanuni zipo wazi Simba asipotokea uwanjani ni yanga kupewa point 3 na magoli 3, Akuna kanuni inayosema ukizuiwa kufanya mazoezi ya mwisho basi ugomee kucheza mechi,,kama ni adhabu zipo kikanuni ambapo ingethibitika ivyo yanga angepewa onyo ama kupigwa faini ya milioni Moja au mbili na sio timu kugomea mechi!Kwa wanaojua kanuni endapo Simba isipocheza huo mchezo itaadhibiwaje? Faini, kukatwa point, kushushwa daraja
Na vipi kuhusu Yanga nao?
Mganga katuambia tutapigwa 10 tusipotimiza masharti yake, njia pekee kwasasa ni kutokupeleka timu uwanjani.Sasa unaenda uwanjani umebeba paka na vizee kutoka rufiji unategemea uruhusiwe kuingia?
Mjinga kama wewe utawezaje kujadili mambo ya maana na watu wenye akili? Tunaongea mpira kati ya Yanga na Simba wewe unaongea Chama tawala. hapo ndipo ujue kuwa akili zako ni finyu sana. Inawezekana leo hujala.Ujinga wa watanzania aina yako ni mtaji mkubwa sana wa chama tawala
Usiwe mbishi nenda kasome kanuni za ligi zinasemaje kukataliwa kufanya mazoezi ya mwisho sio kigezo cha timu kugombea mechi Kuna kanuni zinaelekeza adhabu zipi zitatolewa but sio timu kugomea mechi ilo ni jambo jingine kabisaSimba hawezi kukatwa pointi kwenye tatizo ambalo ametengenezewa.
Anakatwa point akiwa yeye ndio amevunja kanuni. Hawezi kuwajibika kwenye makosa yaliyofanywa na mtu mwingine.
And by records Simba wapo vizuri kwenye sheria na wanajitahidi sana kuheshimu taratibu za kimpira.
Sitaki kuamini kama wamekuwa wazembe wasione hili uliloliona wewe.
Pole hakuna kurudishiwa gharama hiyo imekula kwakoWengine ndio tunaingia Dar Jamani kwa ajili ya hii game!
Gharama Zetu zinarudije?
Kuna watu humu wameingia kwa bahati mbaya ujue yan wana tabia flani ivi za FacebookMjinga kama wewe utawezaje kujadili mambo ya maana na watu wenye akili? Tunaongea mpira kati ya Yanga na Simba wewe unaongea Chama tawala. hapo ndipo ujue kuwa akili zako ni finyu sana. Inawezekana leo hujala.
Naunga mkono hoja hakuna kucheza na Yanga huu upuuzi ukifumbiwa macho tunatakuwa na mpira wa kihuni,wapelekeni hata FIFA hawa Yanga kule kuna rungu kali sio hawa FFFSimba hawezi kukatwa pointi kwenye tatizo ambalo ametengenezewa.
Anakatwa point akiwa yeye ndio amevunja kanuni. Hawezi kuwajibika kwenye makosa yaliyofanywa na mtu mwingine.
And by records Simba wapo vizuri kwenye sheria na wanajitahidi sana kuheshimu taratibu za kimpira.
Sitaki kuamini kama wamekuwa wazembe wasione hili uliloliona wewe.
Walitaka kuroga uwanja kama kule SAKwani lazima wafanye mazoezi hapo? Si wana uwanja wao Bunju? Yanga nendeni uwanjani wasipokuja chukueni Pointi 3 na magoli matatu ili iwe fundisho.
Vyote kwa pamoja ila watacheza tu hizo mbwembwe za kuwatoa watu mchezo nje ya uwanja usizizingatie ni planned eventsKwa wanaojua kanuni endapo Simba isipocheza huo mchezo itaadhibiwaje? Faini, kukatwa point, kushushwa daraja