OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
FT Simba 4-1 Batman
Onana
Bocco
Saido
Zimbwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongereni kwa kufunga timu iliyoshuka daraja uturukiFT Simba 4-1 Batman
Onana
Bocco
Saido
Zimbwe
Ile mliyoifunga 10 jana inashiriki ligi gani?Hongereni kwa kufunga timu iliyoshuka daraja uturuki
Je kuna mwanayanga yeyote aliyejisifia kwa ushindi ule?Ile mliyoifunga 10 jana inashiriki ligi gani?
Daraja la tatu, na wamekuwa mkiani halafu kuna watu wanalala leo wakiwa wanafurahia wameua.Sawa hii Batman sio timu ya daraja la pili huko?
Kama hamkufurahia sisi tulijuwaje kuwa mmewapiga wafungwa kumi ,Je kuna mwanayanga yeyote aliyejisifia kwa ushindi ule?
Bora ingekuwa daraja la pili. Batman alikuwa daraja la nne, na msimu huu kashuka daraja. Kwa hiyo mwaka kesho atakuwa daraja la tano.Sawa hii Batman sio timu ya daraja la pili huko?
Ligi daraja la 3, tena kashuka hadi la chini yakeSawa hii Batman sio timu ya daraja la pili huko?
This is SIMBA[emoji173][emoji173][emoji173]FT Simba 4-1 Batman
Onana
Bocco
Saido
Zimbwe
Hakuna taarifa yeyote iliyotolewa wala kuzungumziwa kwa huo ushindi zaidi ya ukurasa rasmi wa timu, tofauti na nyie mlivyoukuza huo ushindi wenu kwa timu ya uturuki inayoburuza mkia kwenye ligi daraja la tatu.Kama hamkufurahia sisi tulijuwaje kuwa mmewapiga wafungwa kumi ,
Marumo ya UTURUKI.Hongereni kwa kufunga timu iliyoshuka daraja uturuki
Sawa hii Batman sio timu ya daraja la pili huko?
Ni ulaya lknHongereni kwa kufunga timu iliyoshuka daraja uturuki
Mwaka gani hii?